Dannis
JF-Expert Member
- Jan 21, 2016
- 1,603
- 1,702
Kwa sasa sijajuaMkuu hivi charges zipo vipi kwa CBM siku hizi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sasa sijajuaMkuu hivi charges zipo vipi kwa CBM siku hizi?
Inategemea aina ya mzigo..ni kuanzia 350usd mpaka 450usd per cbm mizigo mingi.Mkuu hivi charges zipo vipi kwa CBM siku hizi?
Zipo mkuu,. Ila ni high copyKwanza NOKIA gani ambazo huuzwa 9000/piece?
Nitakutafuta mkuuMatapeli kwel wapo endapo utafanya biashara nje ya app ya alibaba kwamfano unataka kununa simu alafu supplies anakuamby tuchat whatsapp usikubali utatapeliwa piah kama unahitaji kujua zaidi nichek whatpp ntakutumia video inayokulekeza jinsi yakupat supplies mzuri 0788906890
Sijakuelewa mkuu??Mtaji wa laki 5, umeishia kuwa Milioni 1.3.
Af tena, siku hizi,kuna Master Card ya Airtel? Tuwekee picha hapa tuone na sisi tukaimiliki basi.
Na mwishowe,wewe wapitie kwako kuagiza mizigo. Silent Ocean?
Saw karibu boss tujifunze pamojaNitakutafuta mkuu
Great [emoji106] mwana sikujui ila nahisi ushafatia au unajua nilichokisema big up to you[emoji123]Zipo mkuu,. Ila ni high copy
Hiz namba zangu 0788906890 tuma message whatpp, andika neno tuma video kuhusu Alibaba ntakujibu nikiwa Free bossHivi kuna mtu yoyote katumiwa video na huyu mwamba alianzisha uzi
Inategemea na bidhaa unayoagiz boss kuna baadhi ya bidhaa hazi charge kwa CBM. Wanacharge kwa (PC)Mkuu hivi charges zipo vipi kwa CBM siku hizi?
Upo sahih but tuseme loose cargo ndio bei rahis zaid[emoji123]Inategemea aina ya mzigo..ni kuanzia 350usd mpaka 450usd per cbm mizigo mingi.
Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
Blessed sana bro[emoji120]Daaah kweli nimeamini watanzania wengi tuna matatizo ya mtindio wa ubongo, yaani watanzania wengi hamna akili kabisa sijui shida ni nini.
Eti bidhaa ikiwa bei chee ni fake, hivi hamjui jinsi ya kuijua bidhaa fake? kumbe dawa yenu ni kuwauzia bei ghali tu
Mtoa mada, hizo simu wauzie 50k hawa mbwa wa kibongo walioharibiwa akili na kuku wa kisasa.
BTW, Asante sana kwa somo mkuu, Mungu akubariki, ninampango wa kununua Redmi nitakutafuta bro
Bei gani hizi Bosi??Picha hiz hapa kwa anaye hitaji anicheki 0788906890View attachment 2604776
Zilishaisha tok mwaka jana kaka but bei ilikuwa 25kBei gani hizi Bosi??
Shukran boss wangu [emoji346][emoji346][emoji345][emoji345][emoji344][emoji344][emoji344][emoji344][emoji1666]Sijui kuhusu mengine, ika nilinunua simu mbili kwa huyu jamaa mwaka jana na matumixi ya hizo simu ni dukani ambako zipo busy, hazijawahi kunisumbua hadi leo.
Hukuagiza tena?Shukran boss wangu [emoji346][emoji346][emoji345][emoji345][emoji344][emoji344][emoji344][emoji344][emoji1666]