Anza biashara ya kuagiza simu kutoka China hadi Tanzania kwa mtaji mdogo wa laki tano tu

Anza biashara ya kuagiza simu kutoka China hadi Tanzania kwa mtaji mdogo wa laki tano tu

Safi sana!

Kwanini uliamua kufanya biashara ya hizo simu za Nokia kiswaswadu na sio haya ya kupangusa?

Maana hizo hazikai sana na chaji kama utatumia kuongea ni masaa mawili kimeisha chaji!

Kipi ambacho kime kuvuta katika hiyo biashara ya hizo simu?
Za kupangusa soko lake halilingani ni viswaswadu,viswaswadu mauzo yake ni chap,nadhani tuliopo kwenye industry hii tunakubaliana na kamanda
 
Mambo ya kuzingatia unaponunua kitu online(masoko ya China)
1.Nunua kwa verified sellers na wenye review nzuri.Sababu hataki kuharibu reputation aliyonayo.(Sellers wasio kuwa verified sometimes hawana cha kupoteza so unaweza pewa mzigo usio kidhi quality,idadi etc.)

2.Tumia malipo ya kwenye app pekee,sababu ndio utaweza ku claim refund incase kuna matatizo yametokea.Ukimlioa seller kwa njia nyingine hutaweza kudai refund kwenye app

3.Hapa ni swali kwa mtoa mada.mkuu mzigo ulifika Tanzania kwa njia ya meli na kuupokea kwa siku 21?[emoji3]
Hapo kwenye siku 21 hapana aisee, ametupiga
 
Safi sana!

Kwanini uliamua kufanya biashara ya hizo simu za Nokia kiswaswadu na sio haya ya kupangusa?

Maana hizo hazikai sana na chaji kama utatumia kuongea ni masaa mawili kimeisha chaji!

Kipi ambacho kime kuvuta katika hiyo biashara ya hizo simu?
KWA USALAMA WA MASIKIO YAKO, HIZI SIMU NDOGO NI NZURI KULIKO KUBWA.
SIMU KUBWA ZINAPELEKEA UPOTEVU WA USIKIVU.(TAFUTA TAARIFA ZAIDI )

NA HIZI SIMU NAONA NI NZURI KWA KUTUNZA CHAJI KULIKO KUBWA.
 
Haiwezekani mkuu natumia silent ocean huu ni mwaka 3, ukianza kuhesabu mzigo unapoondoka CN unatumia almost 28-35days to kufika TZ ma sio 21days.
Baba huwaga unasafirisha full contena au
Wew mwambie supply wako apeleke mxigo wako loose cargo alf uone kam haujafik siku 21
 
Mwenzenu Kuna katoto ka kichina niko nako tunapanga biashara nimekaopoa Alibaba, kananipa stori za ndani ndani huko

Sema wenzetu wako systematically ingawa kuna mmoja kanivuruga, mzigo hajaship hadi leo, ila namfanyia umafia wa chini chini ajifunze kuheshimu pesa za watu
 
Mwenzenu Kuna katoto ka kichina niko nako tunapanga biashara nimekaopoa Alibaba, kananipa stori za ndani ndani huko

Sema wenzetu wako systematically ingawa kuna mmoja kanivuruga, mzigo hajaship hadi leo, ila namfanyia umafia wa chini chini ajifunze kuheshimu pesa za watu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimekubali hiyo mkuu
 
Habari,

Mimi ni mpenzi Sana wa kusoma majarida mbalimbali online. Sasa siku moja nikukuta jarida likijadiliwa linalo husu kuagiza bidhaa kutoka china hadi dar kupitia Alibaba, Ali express, 1688, Taotao,Yuwin. nk

Nikajiseme nami nikajaribu kwa kufuata hatua hizi nilizo soma kwenye lile jarida.
  1. Lazima uwe na application ya Alibaba Alixpess, 1688,Taotao, au Yuwin.
  2. Nikatengeneza account yangu kwenye application nilioichagua ilikuwa ni Alibaba.
  3. Nikafanya utafiti wa bei maana kuna maduka ya jumla na rejareja. duka lajumla nikama Alibaba na 1688 hayo mengine ni rejareja.
  4. Nilichofanya natizama bidhaa ninayoihitaji kwenye duka langu larejareja ambalo ni Ali express, taotao, na yuwin kisha nasoma comment za watumiaji nikisha jirizisha kwa hii bidhaa nimzuri kwa matumizi narudi sasa kwenye duka langu la bei yajumla kwaajili yakununua sasa.
  5. Hatua nyingine ambayo sikuisoma popote ila niliigundua wakati nafanya utafiti wangu nikwamba supplies walio be verified na Alibaba app nauza bidhaa bei sana kwasabab kampuni zao zimesha sajiliwa. Baada ya kujua hilo nikatafuta supplies ambao hawaja be verified na alibaba wao wanauza bidhaa zao kwa uhakika haraka na bei rahisi zaidi kupata wateja wengi ili kampuni yao iweze kusajiliwa.
  6. Basi nikampata nikaongea nae yupo shapu sana tukakubaliana bei nzuri zaid nayaupendeleo akaniuliza nina agent china wakunisafirishia mzigo wangu hadi dar nikamwambia ninae kasabab nilisha soma kwenye jarida wala haikunipa shida sana, basi nikamtumia address ya agent Wang ambao ni silent ocean. Niliwachagua hao kwasababu niliona watu wanawasifia sana kwenye jarida lile nakiukwel wapo fast Sana.
  7. Basi akanitengenezea link ya payment nikafanya malipo kupitia master card yang ya airtel money nikasubiri kupokea mzigo wangu.
  8. Baada yasiku moja nikapokea ujumbe kuwa mzigo wangu umepokelewa whorehouse za silent ocean China wakanipa track number zakuangalia mzigo wangu baada Siku 21 mizigo ulipofika wakanipigia simu nikaenda kuchua sasa nauza kwa bei rahisi mpaka watu wanahisi hizi simu nizawizi.
  9. Nilinunua nokia pc100 kwashiling laki 9 garama zausafirishaji shilingi laki 2 piah supplies wangu alinitoza pesa za mbao ili kuweza kuprotect simu zangu zisipate damage yoyote. Kiufupi nilitumia kama m1.3 hadi kunifikia
Kwa msaada zaidi Wakuagiza mzigo au kwamahitaji yahizo simu tupigie 0788906890 bei yajumla 21000/= rejareja 25000/=

View attachment 2604754
Asante kwa ushauri na siyo kwamba nakupinga au nataka kukuharibia bali napata ukakasi kwenye mambo haya,

1: nature ya sisi wabongo ni kwamba huwa hatutoi kamwe siri ya biashara zetu ya vipi tunaingiza faida na kiasi gani,labda iwe

a) umwambie mtu yote hayo ili mshirikiane kwenye biashara(partnership)

b)au biashara hyo ulishawahi kuifanya na unafanya biashara nyingine kwa sasa

c)biashara hyo ilishawahi kukutia loss na sasa unataka wengine wajaribu ili uone kama wenzako wataimudu au kufa kibudu kama wewe

Hapa ninachoshangaa mimi inakuwaje unafanya biashara hyo hyo then unasema inakupa faida kubwa and still una shawishi wengne waagize kama wewe toka china na di kutangaza zaid zako.

2.Navyojua mimi hzo websites zote za kuuza online huwa zina njia zake za kulipia bidhaa na ikiwa kuna tatizo kwenye bidhaa au seller bas wewe kama mteja unaweza ku claim na kurudishiwa heka zako sasa nmepata ukakasi

Hasa hapo unaposhawishi mtu anunhe kwa un verified seller na tena aitoshi alipie through link ya malipo atayotumiwa kitu ambacho hata mtanzania wa hapa anaweza ku create hyo link na account yake ya bank ya huku au hata huko huko china akalamba hela zote


3.mwisho ni hyo kusema kuwa silent ocean wanasafirisha mzigo ndani ya siku 21??,maana haijawahi tokea kwanza

Any ways asante kwa kutushirikisha
 
Asante kwa ushauri na siyo kwamba nakupinga au nataka kukuharibia bali napata ukakasi kwenye mambo haya,

1: nature ya sisi wabongo ni kwamba huwa hatutoi kamwe siri ya biashara zetu ya vipi tunaingiza faida na kiasi gani,labda iwe

a) umwambie mtu yote hayo ili mshirikiane kwenye biashara(partnership)

b)au biashara hyo ulishawahi kuifanya na unafanya biashara nyingine kwa sasa

c)biashara hyo ilishawahi kukutia loss na sasa unataka wengine wajaribu ili uone kama wenzako wataimudu au kufa kibudu kama wewe

Hapa ninachoshangaa mimi inakuwaje unafanya biashara hyo hyo then unasema inakupa faida kubwa and still una shawishi wengne waagize kama wewe toka china na di kutangaza zaid zako.

2.Navyojua mimi hzo websites zote za kuuza online huwa zina njia zake za kulipia bidhaa na ikiwa kuna tatizo kwenye bidhaa au seller bas wewe kama mteja unaweza ku claim na kurudishiwa heka zako sasa nmepata ukakasi

Hasa hapo unaposhawishi mtu anunhe kwa un verified seller na tena aitoshi alipie through link ya malipo atayotumiwa kitu ambacho hata mtanzania wa hapa anaweza ku create hyo link na account yake ya bank ya huku au hata huko huko china akalamba hela zote


3.mwisho ni hyo kusema kuwa silent ocean wanasafirisha mzigo ndani ya siku 21??,maana haijawahi tokea kwanza

Any ways asante kwa kutushirikisha
Yaan silent ocean kuna watu wanadai hadi miezi miwili mzigo hujaupata
 
Back
Top Bottom