Anza biashara ya kuagiza simu kutoka China hadi Tanzania kwa mtaji mdogo wa laki tano tu

Anza biashara ya kuagiza simu kutoka China hadi Tanzania kwa mtaji mdogo wa laki tano tu

Nakumbiaje? Hata ingekuwa March-sagurasagura hakuna simu ya Nokia ya bei hiyo. Hizi zinafyatuliwa na wachina huko uchochoroni. Tuombe Mungu atusaidie zisiwe zimetengenezwa kwa material zenye madhara au zina radio waves za hatari kwani kizazi chetu kitakwisha. Nchi inaingiza kila aina ya ''takataka'' kutoka China. Fedha zimeondoa utu wa wanadamu!
Usikariri kwan China hakuna vitu original
Mbna kama una wivu ....kitu umrona hukielew kaa kimya kujifanya unajua ba hujui
Kwenu vitu vyenu mnavinunua wap
China is for Tanzanians
 
Kuweni makini wako wengi hawa kuna huyu Dreams Llc na Richard na Karim Kanungila wote hawa ni wamoja bado naendelea kuwatafuta wengine mmoja najua anakopatikana China Plaza.
kuwa na heshima bwana mdogo.Hunifahamu sikufahamu kwahiyo tuheshimiane.Kwanza unajua kusoma?Umeona nilichochangia kwenye huu uzi?Nimesema mtu anayetaka kununua kitu anunue direct kwa verified suppliers kwenye app na alipe kwenye app,asilipe kwa mtu au suppliers nje ya app.Pia siko Tanzania zaidi ya miaka 9,sitaki mazoea ya kipumbavu.
 
Jf wote ni wajuaji pia wote hawajui kitu...mdomo,mdomo tuuuu na maneno mengi. Mada kama hii mwenye kuchukua maamuzi achukue. Mwenye kukaa kungoja habari za original,Mara verified mara Chinese version akae.
Wengi wanadhani kitu cha bei kubwa ndicho original,watu sampuli hii mnapigwa sana. Take risk,aim high.
 
Watu hamjui kitu kubalini na muwe tayari kuuliza
Sasa mzigo unakua chini ya Shipping company Hao TRA Wanahusikaje na Buyer
Nenda tra mkuu watakupa maelezo ya kutosha naongea kitu nakifahamu vizuri..shipping kampuni hawahusiki na TRA ila wanapaswa kushirikiana na TRA mizigo yote wanapo-import
 
Wakuu naomba kuelekezwa namna ya kujaza address yangu AliExpress,

Issue ni hapo kwenye zip code,natakiwa kuweka nini?msaada tafadhali.
Screenshot_2023-05-03-17-01-32-799_com.alibaba.aliexpresshd.jpg
 
kuwa na heshima bwana mdogo.Hunifahamu sikufahamu kwahiyo tuheshimiane.Kwanza unajua kusoma?Umeona nilichochangia kwenye huu uzi?Nimesema mtu anayetaka kununua kitu anunue direct kwa verified suppliers kwenye app na alipe kwenye app,asilipe kwa mtu au suppliers nje ya app.Pia siko Tanzania zaidi ya miaka 9,sitaki mazoea ya kipumbavu.
Kijana msimzoe wala kumkurupukia au kumshutumu usiye mjua kuwa makini sana maneno yako
 
Ach ubish kak mm nimesafirisha mara nying na sijawah kulipia tra
Huyu jamaa inaonekana mzigo wake anachukulia TRA au hajui chochote ila style yake ya kutafuta taarifa anataka asionekane kama hajui kitu
Kwa mtu anayejua taarifa za Shipping company hawezi toa Pesa ya Makato zaidi ya ile aliyoelewana kabla ya mzigo kusafirishwa, Na mzigo unakua chini ya dhamana Yao
sasa hao TRA Jamaa Sijui Kawatoa Wapi
 
Huyu jamaa inaonekana mzigo wake anachukulia TRA au hajui chochote ila style yake ya kutafuta taarifa anataka asionekane kama hajui kitu
Kwa mtu anayejua taarifa za Shipping company hawezi toa Pesa ya Makato zaidi ya ile aliyoelewana kabla ya mzigo kusafirishwa, Na mzigo unakua chini ya dhamana Yao
sasa hao TRA Jamaa Sijui Kawatoa Wapi
Ach ubish kak mm nimesafirisha mara nying na sijawah kulipia tra
Hakuna import yoyote utafanya bila kulipa kodi labda useme hamjui mnavyolipa acha kudanganywa watu otherwise ukwepe kodi...
Na usipojua ndio mwanzo wa kupigwa na hizo shipping company maana watakuwekea asilimia zozote bila kujua
 
Hakuna import yoyote utafanya bila kulipa kodi labda useme hamjui mnavyolipa acha kudanganywa watu otherwise ukwepe kodi...
Na usipojua ndio mwanzo wa kupigwa na hizo shipping company maana watakuwekea asilimia zozote bila kujua
Kaka kodi za tra zinalipwa na shipping company
 
Hakuna import yoyote utafanya bila kulipa kodi labda useme hamjui mnavyolipa acha kudanganywa watu otherwise ukwepe kodi...
Na usipojua ndio mwanzo wa kupigwa na hizo shipping company maana watakuwekea asilimia zozote bila kujua
Afisa ukiagiza kwa mfumo utakaokufanya uwaface hao vijana wa field, watakukaanga hatari
Kama ni mzigo wa biashara unakuta hesabu Inagoma, mwisho na mzigo wenyewe unaususa bandarini

Lakini kwa shipping company hizo kesi ni chache kama sio hakuna kabisa
 
Back
Top Bottom