Michael Richard
Senior Member
- Mar 29, 2023
- 166
- 496
- Thread starter
- #221
Mm nilinunua pc100 ila wew unaweza ukaanza ata na pc50 za simu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mm nilinunua pc100 ila wew unaweza ukaanza ata na pc50 za simu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni kununua mzigo wa kutosha then kwenda kuuza hivi visimu vijijini hukoNiko Kujifunza Kuna Wazo Hapa Ukiliboresha Unaweza Kutoboa
Yes, minadaniNi kununua mzigo wa kutosha then kwenda kuuza hivi visimu vijijini huko
Nakazia, uwe unawaambia kabisa siku fulani naleta simu. Maana unaweza kuleta mzigo kwa ghafla halafu mtu hana hata 100. Siku akiwa nayo wewe haupoYes, minadani
Minadani wala huhitaji taarifa, wale wale wafanyabiashara watakuungisha, hasa wauza mazao, mifugo, mitumba nkNakazia, uwe unawaambia kabisa siku fulani naleta simu. Maana unaweza kuleta mzigo kwa ghafla halafu mtu hana hata 100. Siku akiwa nayo wewe haupo
Nina vingi vya kujifunza hapaHabari,
Mimi ni mpenzi Sana wa kusoma majarida mbalimbali online. Sasa siku moja nikukuta jarida likijadiliwa linalo husu kuagiza bidhaa kutoka china hadi dar kupitia Alibaba, Ali express, 1688, Taotao,Yuwin. nk
Nikajiseme nami nikajaribu kwa kufuata hatua hizi nilizo soma kwenye lile jarida.
Kwa msaada zaidi Wakuagiza mzigo au kwamahitaji yahizo simu tupigie 0788906890 bei yajumla 21000/= rejareja 25000/=
- Lazima uwe na application ya Alibaba Alixpess, 1688,Taotao, au Yuwin.
- Nikatengeneza account yangu kwenye application nilioichagua ilikuwa ni Alibaba.
- Nikafanya utafiti wa bei maana kuna maduka ya jumla na rejareja. duka lajumla nikama Alibaba na 1688 hayo mengine ni rejareja.
- Nilichofanya natizama bidhaa ninayoihitaji kwenye duka langu larejareja ambalo ni Ali express, taotao, na yuwin kisha nasoma comment za watumiaji nikisha jirizisha kwa hii bidhaa nimzuri kwa matumizi narudi sasa kwenye duka langu la bei yajumla kwaajili yakununua sasa.
- Hatua nyingine ambayo sikuisoma popote ila niliigundua wakati nafanya utafiti wangu nikwamba supplies walio be verified na Alibaba app nauza bidhaa bei sana kwasabab kampuni zao zimesha sajiliwa. Baada ya kujua hilo nikatafuta supplies ambao hawaja be verified na alibaba wao wanauza bidhaa zao kwa uhakika haraka na bei rahisi zaidi kupata wateja wengi ili kampuni yao iweze kusajiliwa.
- Basi nikampata nikaongea nae yupo shapu sana tukakubaliana bei nzuri zaid nayaupendeleo akaniuliza nina agent china wakunisafirishia mzigo wangu hadi dar nikamwambia ninae kasabab nilisha soma kwenye jarida wala haikunipa shida sana, basi nikamtumia address ya agent Wang ambao ni silent ocean. Niliwachagua hao kwasababu niliona watu wanawasifia sana kwenye jarida lile nakiukwel wapo fast Sana.
- Basi akanitengenezea link ya payment nikafanya malipo kupitia master card yang ya airtel money nikasubiri kupokea mzigo wangu.
- Baada yasiku moja nikapokea ujumbe kuwa mzigo wangu umepokelewa whorehouse za silent ocean China wakanipa track number zakuangalia mzigo wangu baada Siku 21 mizigo ulipofika wakanipigia simu nikaenda kuchua sasa nauza kwa bei rahisi mpaka watu wanahisi hizi simu nizawizi.
- Nilinunua nokia pc100 kwashiling laki 9 garama zausafirishaji shilingi laki 2 piah supplies wangu alinitoza pesa za mbao ili kuweza kuprotect simu zangu zisipate damage yoyote. Kiufupi nilitumia kama m1.3 hadi kunifikia
View attachment 2604754
Good idea[emoji120][emoji120]Ni kununua mzigo wa kutosha then kwenda kuuza hivi visimu vijijini huko
Good idea [emoji120][emoji120][emoji120]Yes, minadani
Mchawi tu huyo dada ExtrovertMzigo upo boss karibu
Asante kwa tarifaa hii... Pole kwa walio kubeza,Habari,
Mimi ni mpenzi Sana wa kusoma majarida mbalimbali online. Sasa siku moja nikukuta jarida likijadiliwa linalo husu kuagiza bidhaa kutoka china hadi dar kupitia Alibaba, Ali express, 1688, Taotao,Yuwin. nk
Nikajiseme nami nikajaribu kwa kufuata hatua hizi nilizo soma kwenye lile jarida.
Kwa msaada zaidi Wakuagiza mzigo au kwamahitaji yahizo simu tupigie 0788906890 bei yajumla 21000/= rejareja 25000/=
- Lazima uwe na application ya Alibaba Alixpess, 1688,Taotao, au Yuwin.
- Nikatengeneza account yangu kwenye application nilioichagua ilikuwa ni Alibaba.
- Nikafanya utafiti wa bei maana kuna maduka ya jumla na rejareja. duka lajumla nikama Alibaba na 1688 hayo mengine ni rejareja.
- Nilichofanya natizama bidhaa ninayoihitaji kwenye duka langu larejareja ambalo ni Ali express, taotao, na yuwin kisha nasoma comment za watumiaji nikisha jirizisha kwa hii bidhaa nimzuri kwa matumizi narudi sasa kwenye duka langu la bei yajumla kwaajili yakununua sasa.
- Hatua nyingine ambayo sikuisoma popote ila niliigundua wakati nafanya utafiti wangu nikwamba supplies walio be verified na Alibaba app nauza bidhaa bei sana kwasabab kampuni zao zimesha sajiliwa. Baada ya kujua hilo nikatafuta supplies ambao hawaja be verified na alibaba wao wanauza bidhaa zao kwa uhakika haraka na bei rahisi zaidi kupata wateja wengi ili kampuni yao iweze kusajiliwa.
- Basi nikampata nikaongea nae yupo shapu sana tukakubaliana bei nzuri zaid nayaupendeleo akaniuliza nina agent china wakunisafirishia mzigo wangu hadi dar nikamwambia ninae kasabab nilisha soma kwenye jarida wala haikunipa shida sana, basi nikamtumia address ya agent Wang ambao ni silent ocean. Niliwachagua hao kwasababu niliona watu wanawasifia sana kwenye jarida lile nakiukwel wapo fast Sana.
- Basi akanitengenezea link ya payment nikafanya malipo kupitia master card yang ya airtel money nikasubiri kupokea mzigo wangu.
- Baada yasiku moja nikapokea ujumbe kuwa mzigo wangu umepokelewa whorehouse za silent ocean China wakanipa track number zakuangalia mzigo wangu baada Siku 21 mizigo ulipofika wakanipigia simu nikaenda kuchua sasa nauza kwa bei rahisi mpaka watu wanahisi hizi simu nizawizi.
- Nilinunua nokia pc100 kwashiling laki 9 garama zausafirishaji shilingi laki 2 piah supplies wangu alinitoza pesa za mbao ili kuweza kuprotect simu zangu zisipate damage yoyote. Kiufupi nilitumia kama m1.3 hadi kunifikia
View attachment 2604754
Nichek whatpp0788906890 nikupe video ya muongozo bossKwa iyo laki tano vinokia tochi 105 naweza pata vingapi? Naomba mchanganuo kama hutojali
Aisee..Nakumbiaje? Hata ingekuwa March-sagurasagura hakuna simu ya Nokia ya bei hiyo. Hizi zinafyatuliwa na wachina huko uchochoroni. Tuombe Mungu atusaidie zisiwe zimetengenezwa kwa material zenye madhara au zina radio waves za hatari kwani kizazi chetu kitakwisha. Nchi inaingiza kila aina ya ''takataka'' kutoka China. Fedha zimeondoa utu wa wanadamu!
Duh!!..Mwisho msg 10_15....ni famba balaa
🤣🤣Mbongo akikwambia jinsi anavo pata pesa au fursa anayo itumia yeye kuwa nae makini uwenda ww ndo fursa.
Nenda ufisin dar unana na agent uchague vitu umpe cash yeye alipie virtual upewe risiti subiri mzigo,
silent ocean wanakwambia ukienda nchi kama china agent wao wanakupokea, ubafunga mzigo wako , ukitaka chimbo lenye mademu wakali wanakuelekeza huku mzigo uko deep see, msitake vitu rahis
Kwa bei ya jumla ya 21000×100=2100000 ni pesa nyingi sana kwa nini usinunue wewe ukauza kwa mnada au jumla hata ukiuza 12000×100=120000 sio ndogo hapana ndugu kuna namna hapa kama ni wateja umewakosa.Habari,
Mimi ni mpenzi Sana wa kusoma majarida mbalimbali online. Sasa siku moja nikukuta jarida likijadiliwa linalo husu kuagiza bidhaa kutoka china hadi dar kupitia Alibaba, Ali express, 1688, Taotao,Yuwin. nk
Nikajiseme nami nikajaribu kwa kufuata hatua hizi nilizo soma kwenye lile jarida.
Kwa msaada zaidi Wakuagiza mzigo au kwamahitaji yahizo simu tupigie 0788906890 bei yajumla 21000/= rejareja 25000/=
- Lazima uwe na application ya Alibaba Alixpess, 1688,Taotao, au Yuwin.
- Nikatengeneza account yangu kwenye application nilioichagua ilikuwa ni Alibaba.
- Nikafanya utafiti wa bei maana kuna maduka ya jumla na rejareja. duka lajumla nikama Alibaba na 1688 hayo mengine ni rejareja.
- Nilichofanya natizama bidhaa ninayoihitaji kwenye duka langu larejareja ambalo ni Ali express, taotao, na yuwin kisha nasoma comment za watumiaji nikisha jirizisha kwa hii bidhaa nimzuri kwa matumizi narudi sasa kwenye duka langu la bei yajumla kwaajili yakununua sasa.
- Hatua nyingine ambayo sikuisoma popote ila niliigundua wakati nafanya utafiti wangu nikwamba supplies walio be verified na Alibaba app nauza bidhaa bei sana kwasabab kampuni zao zimesha sajiliwa. Baada ya kujua hilo nikatafuta supplies ambao hawaja be verified na alibaba wao wanauza bidhaa zao kwa uhakika haraka na bei rahisi zaidi kupata wateja wengi ili kampuni yao iweze kusajiliwa.
- Basi nikampata nikaongea nae yupo shapu sana tukakubaliana bei nzuri zaid nayaupendeleo akaniuliza nina agent china wakunisafirishia mzigo wangu hadi dar nikamwambia ninae kasabab nilisha soma kwenye jarida wala haikunipa shida sana, basi nikamtumia address ya agent Wang ambao ni silent ocean. Niliwachagua hao kwasababu niliona watu wanawasifia sana kwenye jarida lile nakiukwel wapo fast Sana.
- Basi akanitengenezea link ya payment nikafanya malipo kupitia master card yang ya airtel money nikasubiri kupokea mzigo wangu.
- Baada yasiku moja nikapokea ujumbe kuwa mzigo wangu umepokelewa whorehouse za silent ocean China wakanipa track number zakuangalia mzigo wangu baada Siku 21 mizigo ulipofika wakanipigia simu nikaenda kuchua sasa nauza kwa bei rahisi mpaka watu wanahisi hizi simu nizawizi.
- Nilinunua nokia pc100 kwashiling laki 9 garama zausafirishaji shilingi laki 2 piah supplies wangu alinitoza pesa za mbao ili kuweza kuprotect simu zangu zisipate damage yoyote. Kiufupi nilitumia kama m1.3 hadi kunifikia
View attachment 2604754
Kuweni makini wako wengi hawa kuna huyu Dreams Llc na Richard na Karim Kanungila wote hawa ni wamoja bado naendelea kuwatafuta wengine mmoja najua anakopatikana China Plaza.Mambo ya kuzingatia unaponunua kitu online(masoko ya China)
1.Nunua kwa verified sellers na wenye review nzuri.Sababu hataki kuharibu reputation aliyonayo.(Sellers wasio kuwa verified sometimes hawana cha kupoteza so unaweza pewa mzigo usio kidhi quality,idadi etc.)
2.Tumia malipo ya kwenye app pekee,sababu ndio utaweza ku claim refund incase kuna matatizo yametokea.Ukimlioa seller kwa njia nyingine hutaweza kudai refund kwenye app
3.Hapa ni swali kwa mtoa mada.mkuu mzigo ulifika Tanzania kwa njia ya meli na kuupokea kwa siku 21?[emoji3]
Pitia comment zotee nilisha jibu hilo swali la TARKuna kitu mtoa mada hajasema na hapo ndipo gharama huongezeka maradufu..
TRA hawa ndio wauaji.
Kuhusu og na feki inategemea unavyochagua kuna verified dealers hao ndio uhakika ila kama mzigo mdogo ni bora upambane nairobi wanauza karibu same price na china ndio maana juzi wafanyabiashara kenya waliandamana 7bu walipoenda china wakakuta same price wakaandamana maana wachina wanaua soko lao