Anza biashara ya kuagiza simu kutoka China hadi Tanzania kwa mtaji mdogo wa laki tano tu

Ok mkuu huwa naskia kuna matapeli pia humo alibaba, unawaepukaje?
Matapeli kwel wapo endapo utafanya biashara nje ya app ya alibaba kwamfano unataka kununa simu alafu supplies anakuamby tuchat whatsapp usikubali utatapeliwa piah kama unahitaji kujua zaidi nichek whatpp ntakutumia video inayokulekeza jinsi yakupat supplies mzuri 0788906890
 
Kwa sababu mtaji wangu ni mgodo piah kwasababu simu ndogo zinatembea sana sokoni kuliko smart phone
 
Sijasema kwa nia mbaya

Hii simu nimewahi inunua ila niliishia igawa sababu inakaa na chaji muda mfupi sana.

Button zake hazieleweki.

Nikarudi niliponunua wakasema HMD hawatoi hizo simu tena, zinatoka China
Ooh itakuwa ulinunua nokia copy hiz ni original kak piah nilipitaga na upepo wa March expro walio tumia Alibaba mwez March watakuw wamenielewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…