Michael Richard
Senior Member
- Mar 29, 2023
- 166
- 496
- Thread starter
-
- #21
Matapeli kwel wapo endapo utafanya biashara nje ya app ya alibaba kwamfano unataka kununa simu alafu supplies anakuamby tuchat whatsapp usikubali utatapeliwa piah kama unahitaji kujua zaidi nichek whatpp ntakutumia video inayokulekeza jinsi yakupat supplies mzuri 0788906890Ok mkuu huwa naskia kuna matapeli pia humo alibaba, unawaepukaje?
Shukurani bossUmeupiga mwingi sana, wee ni kichwa cha biashara
Kwa sababu mtaji wangu ni mgodo piah kwasababu simu ndogo zinatembea sana sokoni kuliko smart phoneSafi sana!
Kwanini uliamua kufanya biashara ya hizo simu za Nokia kiswaswadu na sio haya ya kupangusa?
Maana hizo hazikai sana na chaji kama utatumia kuongea ni masaa mawili kimeisha chaji!
Kipi ambacho kime kuvuta katika hiyo biashara ya hizo simu?
Mm nilinunua pc100 ila unaweza ukanza ata na pc50 boss wanfuBado nafikiria kwanini umeandika whorehouse?
Mtaji chini ya laki 5 umefika 1.3M
Dar sehem gani nichek whatapp 0788906890Nataka kisim kimoja mkuu ,niko dsm
Nimesha zikagua sana mm piah najua simu kwaiy hiz simu ni unakika bossHongera ila zikague vizuri hizo simu
Aah wanakuuliza tu kama una tin number kama hauna wanakupa mzigo wako hautozwi hela nyingine zaid niliwauliza kabla sijaagiza wakaniamby hiyo 2k nipamoja nakodi humohumoVp kuhusu Kodi mzigo ukifikishwa na silent ocean hapo Dar?
Sijasema kwa nia mbayaNimesha zikagua sana mm piah najua simu kwaiy hiz simu ni unakika boss
Ooh itakuwa ulinunua nokia copy hiz ni original kak piah nilipitaga na upepo wa March expro walio tumia Alibaba mwez March watakuw wamenielewaSijasema kwa nia mbaya
Hii simu nimewahi inunua ila niliishia igawa sababu inakaa na chaji muda mfupi sana.
Button zake hazieleweki.
Nikarudi niliponunua wakasema HMD hawatoi hizo simu tena, zinatoka China
Ok mkuuMatapeli kwel wapo endapo utafanya biashara nje ya app ya alibaba kwamfano unataka kununa simu alafu supplies anakuamby tuchat whatsapp usikubali utatapeliwa piah kama unahitaji kujua zaidi nichek whatpp ntakutumia video inayokulekeza jinsi yakupat supplies mzuri 0788906890
Hata hizi unazosema uliagiza ni fake. Hakuna simu ya Nokia original inayouzwa kwa hiyo bei.Ooh itakuwa ulinunua nokia copy hiz ni original kak piah nilipitaga na upepo wa March expro walio tumia Alibaba mwez March watakuw wamenielewa
Kaka mm ndy nilio agiza bei sema nilipita na upepo wa March expro kwalio tumia App ya alibaba wanajua bidhaa zilikiwa bei rahis mno. Mzigo huo apo kwa muelewa utaelewaView attachment 2604956View attachment 2604957Tuwe wakweli Nokia 106 ambayo ni model ya 2018 bei yake hadi sasa ni zaidi ya 30000 hapo ni India, Dubai, Pakstan
Na mimi nimemwambia alizonunua ni hizi fake za kichina. Hakuna simu ya Nokia inayouzwa kwa bei ya hiyo.Tuwe wakweli Nokia 106 ambayo ni model ya 2018 bei yake hadi sasa ni zaidi ya 30000 hapo ni India, Dubai, Pakstan
Hahahaha kazi kwako sasa comment hazijakatazwa mm ndy nanazo nandio najua ni copy au original kama hataki kuamin wew pita tu usijaribu wawawekea watu limit yakufikirHata hizi unazosema uliagiza ni fake. Hakuna simu ya Nokia original inayouzwa kwa hiyo bei.
Sijachangia kwa nia mbaya ndo maana nikauliza ulizikagua vizuri?Kaka mm ndy nilio agiza bei sema nilipita na upepo wa March expro kwalio tumia App ya alibaba wanajua bidhaa zilikiwa bei rahis mno. Mzigo huo apo kwa muelewa utaelewaView attachment 2604956View attachment 2604957View attachment 2604959View attachment 2604958
Alfu chakukusaidia kunakitu kilikuwa kinaitwa March expro kwa walio tumia App ya Alibaba March watakuwa wanajua so March vitu Vilikuw bei rahis mnoNa mimi nimemwambia alizonunua ni hizi fake za kichina. Hakuna simu ya Nokia inayouzwa kwa bei ya hiyo.