Anza hivi Kucheza kwenye draft, utasumbua sana.

Red Giant

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2012
Posts
15,657
Reaction score
20,967
Kwenye draft kete ya kuanza ndiyo huamua mchezo uendaje. Hivyo yafaa kujua jinsi ya kuanza.
Kuna kete mbili tu nzuri za kuanza bao. kete ya kati na kete ya pembeni kulia ije katikati. Kete zingine zote jua kuwa itakuwa unakimbizwa.
kete ya kati

Kete ya pembeni
 
Mimi hiyo ya kwanza lazima nianze nayo
 
Kete mbovu sana kuanza nazo na uwezekano wa kufungwa ni mkubwa ni hizi.
Hii ni mbovu

Hii ndiyo mbovu kabisa
 
Kuanza hivi kuna afadhali ila utakuwa ni mtu wa kukimbizwa tu ukikutana na mafundi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…