MJINI CHAI
JF-Expert Member
- Dec 12, 2010
- 2,202
- 1,228
nakujua sana mchezo wa Draft umenikutanisha na wengi...........!!! Kiwalani kulikuwa na watu kama Kedi sasa hivi ni chizi........enzi hizo Buguruni chama.........sasa hivi Kiwalani na Chanika kuna vijana wana mauwezo balaa........Labda uwe na uwezo kama mimi Farisi ndiyo utawazeza..................!!!Hahaaa kumbe nawewe kiwalani unakupata freshi
Pale buguruni nilikua naogopa kucheza, kuna siku nilikua napita nikakuta kitoto kinawakalisha watu wazima afu mabingwanakujua sana mchezo wa Draft umenikutanisha na wengi...........!!! Kiwalani kulikuwa na watu kama Kedi sasa hivi ni chizi........enzi hizo Buguruni chama.........sasa hivi Kiwalani na Chanika kuna vijana wana mauwezo balaa........Labda uwe na uwezo kama mimi Farisi ndiyo utawazeza..................!!!
Hahaa , mkuu unajikubali!!. Kungekuwa na online la kibongo ningekutafuta nikukalishe.nakujua sana mchezo wa Draft umenikutanisha na wengi...........!!! Kiwalani kulikuwa na watu kama Kedi sasa hivi ni chizi........enzi hizo Buguruni chama.........sasa hivi Kiwalani na Chanika kuna vijana wana mauwezo balaa........Labda uwe na uwezo kama mimi Farisi ndiyo utawazeza..................!!!
Kete mbovu sana kuanza nazo na uwezekano wa kufungwa ni mkubwa ni hizi.
Hii ni mbovu
View attachment 976401
Hii ndiyo mbovu kabisa
View attachment 976403
Acheni ujinga. Drafti halina formula. Mie mtu anayecheza kwa formula huwa nampenda sana, maana namvuruga mapema halafu anabaki anahaha tu.
Drafti la formula umkute mtu anayependa formula. Ila ukinikuta mimi nisiyependa formula nakuchezea mchezo wa kukatakata mistari yako yote inabaki na mapengo halafu ndani ya muda mfupi tunabaki na kete tano tano kila upande.
Hapo sasa ndo nitakuona ufundi wako ukoje.
Acheni ujinga. Drafti halina formula. Mie mtu anayecheza kwa formula huwa nampenda sana, maana namvuruga mapema halafu anabaki anahaha tu.
Drafti la formula umkute mtu anayependa formula. Ila ukinikuta mimi nisiyependa formula nakuchezea mchezo wa kukatakata mistari yako yote inabaki na mapengo halafu ndani ya muda mfupi tunabaki na kete tano tano kila upande.
Hapo sasa ndo nitakuona ufundi wako ukoje.
Mwambie huyo asije kuwalisha watu matangopori siku yakiwakuta wasije kumlaumuUkikata sana kama hauko makini unaweza kujikuta unafungwa super
Hapa sinza Mori kuna mabosi wanacheza draft wanaweka dau Hadi laki laki.Wazee wa copy mpo..sumu ya pandu.
Huyo mangwelele Hana Tena mtu anaetaka kucheza nae hapa Dar. Jamaa anajua draft Hadi anakera.wacheza kitu kitu wa Dar........Mesi, dogo Hamisi, Deo, Magwelele, Aaah Mchafu amefariki........, na wale wa Chanika Msumbiji nk sasa Drafti limekuwa ajira
Major ndio ipi mkuuhizo ndo kete zangu za kwanza hasa hiyo ya major
Major ndio kete ipi bosshizo ndo kete zangu za kwanza hasa hiyo ya major