Magical power
JF-Expert Member
- Sep 27, 2022
- 2,158
- 5,626
Paka wanakula vifaranga. WauwaweHakuna haja ya kumpiga paka kwa sababu ya matunda
πππKwanini paka unazozifuga huwa hazina utaratibu wa kuomba ili zipewe ngoja siku zile makaango yako
Anakula papaya πππ
Apa ni nini! Neno ni HapaApa lazima kichapo kikali kimtembeleeeView attachment 3091576
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ Umetisha mnoSasa paka afanyeje hata kama ingekuwa ni wewe uo uvumilivu wa kuendelea kukosa choo wiki na papai lipo ungeweza?
π papai ni kiboko ya kukosa chooπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ Umetisha mno
Kuogopa mafyaUwiii! Mi ndio maana nikishaona papai bichi bichi tu nashusha litaivia ndani. π
Hapo unamaanisha mafua Mkuu. πKuogopa mafya
Hii chai Sasa ππππBora huyo kuliko mbwa koko anakula had bubblegum anabweka huku anatafuna WHOO UM UM
KabisaπππPaka anakula papal?Hamna kitu hapo.Afukuzwe.Afisa usalama wa nyumba hawezi kuachwa ale mapapai na maboga.
Sina maaana iyo ππππmkuuHapo unamaanisha mafua Mkuu. π