Apart from Umakamu mwenyekiti wa chadema,Lisu anafanya shughuli gani nyingine ya kumingizia kipato?

Apart from Umakamu mwenyekiti wa chadema,Lisu anafanya shughuli gani nyingine ya kumingizia kipato?

Wewe Mbaya kweli? Unapamba visivyopambika? Kama ana hayo yote kwanini analialia kuchangiwa hela ya kununua gari la kutembelea? Ushawahi kusikia Mbowe analialia Hana hela?
Mbowe anaishi kwa payroll ya Ccm hawawezi Kuwa sawa
 
Kwanza kabisa nafasi ya Makamu Mwenyekiti ni ya kujitolea.
Pili Lissu ni wakili msomi na leseni yake ya uwakili iko active hivyo siyo mbangaizaji.
Mbona analialia kuchangiwa?
 
Chawa wa lissu unamjibu chawa wa mbowe kwa hasira.kwani huwezi kumjibu kistarabu.
Lissu hana chawa kwa vile hana hela ya kugawa ovyo kwa chawa kama afanyavyo Mbowe kwa hela ya ruzuku na ya Abdul.
 
Mala
Kuna deal ya kukamata ndege za ATCL huko majuu, baada ya Tigo kushirikiana na serekali kubainika walikuwa wanamfuatilia kabla ya kupigwa risasi.

Hili deal linategemewa kumwingizia fedha nyingi sana si vile vijisenti vya Abdul.

Alyekuzidi kakuzidi tu
 
Wewe Mbaya kweli? Unapamba visivyopambika? Kama ana hayo yote kwanini analialia kuchangiwa hela ya kununua gari la kutembelea? Ushawahi kusikia Mbowe analialia Hana hela?
Yeye anataka gari ya kufanyia kazi za Chama siyo ya kupigia misele.
 
Back
Top Bottom