House4Rent Apartment for rent

JMWAKA

JF-Expert Member
Joined
Jun 18, 2012
Posts
739
Reaction score
652
Salaam mabibi na mabwana
Nawaletea hii hapa nyumba imetulia na nzuri sana ni ghorofa ndani ya geti

Sifa zake
-Tiles nyumba nzima
-madirisha ya vioo
-feni zipo ndani
-makabati standard ya jikoni
-kabati za kuhifadhi nguo chumbani
-full ac chumbani

Ni vyumba viwili vya kulala kimoja ni master bed room kingine cha kawaida hakina choo pia kuna public toilet sebule kubwa na jiko safi
Bei. Laki 6 per month
Location ni Mwenge Jirani na office za TRA
Kwa mawasiliano View attachment 924068View attachment 924069View attachment 924070
 
Mawasiliano 0655183618 uje uikague nyumba
 
Hii ni master bedroom ina kabati LA nguo ndani pamoja na Ac
 
Hiyo kodi yake ni NET ya mshahara wangu. Na mimi ndiye boss pale ofisini. Kaaz ipo!
 
Jikoni kuna makabati ya kuhifadhi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…