JMWAKA
JF-Expert Member
- Jun 18, 2012
- 739
- 652
Salaam mabibi na mabwana
Nawaletea hii hapa nyumba imetulia na nzuri sana ni ghorofa ndani ya geti
Sifa zake
-Tiles nyumba nzima
-madirisha ya vioo
-feni zipo ndani
-makabati standard ya jikoni
-kabati za kuhifadhi nguo chumbani
-full ac chumbani
Ni vyumba viwili vya kulala kimoja ni master bed room kingine cha kawaida hakina choo pia kuna public toilet sebule kubwa na jiko safi
Bei. Laki 6 per month
Location ni Mwenge Jirani na office za TRA
Kwa mawasiliano View attachment 924068View attachment 924069View attachment 924070
Nawaletea hii hapa nyumba imetulia na nzuri sana ni ghorofa ndani ya geti
Sifa zake
-Tiles nyumba nzima
-madirisha ya vioo
-feni zipo ndani
-makabati standard ya jikoni
-kabati za kuhifadhi nguo chumbani
-full ac chumbani
Ni vyumba viwili vya kulala kimoja ni master bed room kingine cha kawaida hakina choo pia kuna public toilet sebule kubwa na jiko safi
Bei. Laki 6 per month
Location ni Mwenge Jirani na office za TRA
Kwa mawasiliano View attachment 924068View attachment 924069View attachment 924070