Apendapo Mwenyezi Mungu tarehe 1.5.2015, save the Date, KIMENUKA

loveleen

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2014
Posts
428
Reaction score
113
Haya sasa Diamond Platnumz kumtambulisha rasmi mkewe Zari thebosslady walofunga ndoa kimya kimya ndani ya iyo tar bidada murembo mixer Ugandan na ile rangi ya kishombe shombe Zari thebosslady atavishwa rasmi Pete ya ndoa


Hahahahhahaa......ni checheeeee yaan.......

Kishkwambi Flani ivi amaizing

Pata picha kamili ya Zari akisisitiza pamoja na Diamond wakisema mmeshaona picha na mmeshaskia story sasa habari kamili tar 1 May


Tuanze kuzichanga mapemaaaaa maana #kishanuka #

Cheki mapicha chini👇👇
 

Attachments

  • 1428528536040.jpg
    45.9 KB · Views: 2,433
Pata mapicha mengine chini👇👇👌
 

Attachments

  • 1428528609831.jpg
    45.4 KB · Views: 1,989
Kishkwambi Flani ivi👌😊
 

Attachments

  • 1428528692835.jpg
    49.7 KB · Views: 1,878
aisee sasa Diamond atulie jaman lol maana kuoa si jambo dogo by the nampa hongera zake si mchezo!
 
zari mzuri jaman lol Mungu anaumba maana hapo kazaa 3 alieko tumboni wa4 lakn utadhani ni kabint ka miaka 17 vile

hongera zao na watakia kila jema
 
Kishkwambi maana yake nini hasa?

Neno KISHKWAMBI hupenda sana kutumiwa na waganda na ata Zari hupenda saana kulitumia naeza sema yeye ndie amelipa kik sana ili neno ama huu msamiati

Hili neno KISHKWAMBI limetokana na neno SHIKWAMBI baada ya kutohoa likimaanisha kijanja zaidi au kisela zaidi ivyo yani......ama neneeee

natumai umenielewa ndugu pamoja saana
 
Kishkwambi maana yake nini hasa?

loveleen kakujibu vyema kabisa iyo ndio maana halisi ya neno "Kishkwambi "

Kwa kuongeza tu ni kwamba siku zote;
Lugha husharabu kwa maana ya kwamba huchukua maneno kutoka Lugha nyingine ili kujiongeza zaidi.

Ivyo basi Neno "Kishkwambi" lina maanisha kijanja zaidi au kisasa zaidi utakuta mtu anasema yaani ####Kishkwambi flani ivi amaizing####
 
Last edited by a moderator:
zari mzuri jaman lol Mungu anaumba maana hapo kazaa 3 alieko tumboni wa4 lakn utadhani ni kabint ka miaka 17 vile

hongera zao na watakia kila jema
pamoja sana Marnah usikose iyo May mosi tukijaaliwa uhali!!😅😆

aisee sasa Diamond atulie jaman lol maana kuoa si jambo dogo by the nampa hongera zake si mchezo!
huyu ameshafika mkuu@sasha7 kwasasa katulia tulii hana makeke tena mtoto wa kiganda kashamtuliza!!


Pamoja saana Howt Lady umeeleza kiufasaha zaidi ahsante!!😘
 

Attachments

  • 1428531599338.jpg
    53.6 KB · Views: 1,315
Last edited by a moderator:
Sasa labda niulize, kwanini mnataka kupotosha kuwa Mondi na zari wamefunga ndoa na kuwa pete ya ndoa atavishwa may mosi! Kwani msiposhadadia ndoa iyo white party haitapata wahidhuriaji au?
 
Watu wana mambo? Hivi mimi nikatoe pesa zangu kisa naenda kushuhudia Zari anavikwa pete na Diamond!
Labda hizo pesa ziwe hazina kazi na mimi pia niwe sina kazi.
 
Kishkwambi linatokana na neno "shikwambi" ambalo ni kifupi cha maneno "shinda kwa mbinu"..... wote hao wanaishi kishkwambi. Kudanganya watu kuwa wanavishana pete za ndoa kumbe ni white party ili kujaza watu na kupiga mtonyo wa maana. #KISHKWAMBI FLANI IV
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…