Apendapo Mwenyezi Mungu tarehe 1.5.2015, save the Date, KIMENUKA

Apendapo Mwenyezi Mungu tarehe 1.5.2015, save the Date, KIMENUKA

Skiliza mwaj waukweli...Zari ni mkubwa kwa Diamond ila kajua kujitunza yule mwanamke hadi anaonekana mbichiiii.
Huwezi kuamini ni mkubwa kwake tofauti na mijimama mingine inayojiachia hadi aibu maana wanaonekana kama mama na mwanae.


soo ishu nikujitunza tu. muache kumsema nuhu wawatu sasa maana wako poa tu
 
Last edited by a moderator:
Acha kabisa urembo una raha sana.Ndio maana wanawake wengi warembo huwezi kuwakuta katika professionals ngumu kama udaktari, uinjinia n.k
Ila wabaya wanakazaje jamani?..lol

Duh ..... hahahaaaaaaaa usipokaza nani atakupa hata ya soda????
 
u act like u know everything while u know nothing..who teaches u that there is two type's of sentences?????......hahahahaaa

for your information there is four type's of sentences;

1)Statement sentences
2)Request sentences
3)Command sentences &
4)Question sentences

Oooooops.......one more thing

Eti hajui haina ya sentensi sio haina ndugu unapaswa kusema "Aina" natumai umenielewa ndugu
##kiroho safi##

pamoja saana.

Ww kasuku ebu niondolee utoto wako hapa.
Nliongelea izo type mbili ndizo zilizokua concerned.I asked then u treated it like a statement au info.
Mxiiiu kukariri tu.And yea if kuuliza means I knw everything I bet uv never met the proffesors.
#KASUKU WEWE
Alafu karudie tena kidesa chako hujui matumizi ya 'is' na 'are'.
#ras simba wanna be.
 
Hahahahhahaa......ndege wa aina moja siku zote huruka pamoja yawezekana kwa asilimia 100% nawe ni kasuku au una chembe chembe za ukasuku

Huenda ukawa unafahamu ama hufahamu



Shukrani ndugu ata ivo nampenda sana ndege ##kasuku##

Pamoja saana

Mimi sio kasuku.
 
Ww kasuku ebu niondolee utoto wako hapa.
Nliongelea izo typie mbili ndizo zilizokua concerned.I asked then u treated it like a statement au info.
Mxiiiu kukariri tu.And yea if kuuliza means I knw everything I bet uv never met the proffesors.
#KASUKU WEWE

calm down babyyy...!
 
Ww kasuku ebu niondolee utoto wako hapa.
Nliongelea izo typie mbili ndizo zilizokua concerned.I asked then u treated it like a statement au info.
Mxiiiu kukariri tu.And yea if kuuliza means I knw everything I bet uv never met the proffesors.
#KASUKU WEWE

Umbea huu mpaka najiquote
 
Skiliza mwaj waukweli...Zari ni mkubwa kwa Diamond ila kajua kujitunza yule mwanamke hadi anaonekana mbichiiii.
Huwezi kuamini ni mkubwa kwake tofauti na mijimama mingine inayojiachia hadi aibu maana wanaonekana kama mama na mwanae.

Pesa bwana wee! Hakuna stress inayomchakaza mwanamke kama kuzaa,kukosa fedha, na matunzo!
Huyu hapigwi jua! watoto wana afya, Hata kipele kina Dr wake, na mwisho kabisa uzuri wa asili na rangi adimu!
Angekuwa huku kwetu Buguruni ni mbibiiii tena ana rangi ka wale wahindi wagoa!
 
Last edited by a moderator:
u act like u know everything while u know nothing..who teaches u that there is two type's of sentences?????......hahahahaaa

for your information there is four type's of sentences;

1)Statement sentences
2)Request sentences
3)Command sentences &
4)Question sentences

Oooooops.......one more thing

Eti hajui haina ya sentensi sio haina ndugu unapaswa kusema "Aina" natumai umenielewa ndugu
##kiroho safi##

pamoja saana.

well explained loveleen.........bravoo!!
 
Last edited by a moderator:
Hahahahhahaa......ndege wa aina moja siku zote huruka pamoja yawezekana kwa asilimia 100% nawe ni kasuku au una chembe chembe za ukasuku

Huenda ukawa unafahamu ama hufahamu



Shukrani ndugu ata ivo nampenda sana ndege ##kasuku##

Pamoja saana

keep calm baby.
 
Back
Top Bottom