Apetizer!!

Apetizer!!

mahitaji biringanya kama 4,chumvi,pilipili iliyotangwa pamoja na kitunguu swaumu

jinsi ya kuandaa:katakata mabiringanya slices
ndogondogo kisha weka kwenye bakuli uliloweka chumvi




changanya,kisha washa jika weka mafuta size kama vile unakaanga samaki au maandazi kisha mafuta yakipata moto weka biringanya kaanga mpaka zikiwa za brown kisha ipua weka kwenye chujio la nazi ili uchuje mafuta kisha chukua pilipili kidogo uliyotwanga changanya na ndimu kisha mwagia juu ya biringanya
Save mezani utalia na ugali na mboga yoyote,wali,pilau(hapa inanoga zaidi ) ↲
cc snowhite gfsonwin shansarie Mamndenyi Zahra White Madame B Kijino Heaven on earth charminglady YNNAH arabella Kaizer watu8 mimi49 Paloma ladyfurahia mimisa ladydoctor @
Shukrani amu
 
Last edited by a moderator:
hivi unavijua visra???
jamani nimevimiss sana sana sijui kuvipika ingawa mama yangu huwa anatupikiaga na nizamani sana. nitafutie recipe yake ningeshukuru sana.
mchaga visra umevijulia wapi?hiko chakula ni cha wasudan na wasomali.
Anyway si recipe tatizo chuma cha kupikia kisra utakitoa wapi?ukikipata niite nikupikie ulikosa vile vile naweza kukuazima au nikakuelekeza sehemu wakakutengenezea
 
mchaga visra umevijulia wapi?hiko chakula ni cha wasudan na wasomali.
Anyway si recipe tatizo chuma cha kupikia kisra utakitoa wapi?ukikipata niite nikupikie ulikosa vile vile naweza kukuazima au nikakuelekeza sehemu wakakutengenezea
mmmmh odo wanipaje raha unavopenda na kujua kupika!
 
mahitaji biringanya kama 4,chumvi,pilipili iliyotangwa pamoja na kitunguu swaumu

jinsi ya kuandaa:katakata mabiringanya slices
ndogondogo kisha weka kwenye bakuli uliloweka chumvi




changanya,kisha washa jika weka mafuta size kama vile unakaanga samaki au maandazi kisha mafuta yakipata moto weka biringanya kaanga mpaka zikiwa za brown kisha ipua weka kwenye chujio la nazi ili uchuje mafuta kisha chukua pilipili kidogo uliyotwanga changanya na ndimu kisha mwagia juu ya biringanya
Save mezani utalia na ugali na mboga yoyote,wali,pilau(hapa inanoga zaidi ) ↲
cc snowhite gfsonwin shansarie Mamndenyi Zahra White Madame B Kijino Heaven on earth charminglady YNNAH arabella Kaizer watu8 mimi49 Paloma ladyfurahia mimisa ladydoctor @

amu hii appetizer tunaweza kuinywea na bia..sijui inanyweka? ushamba huu
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
amu uuuwiiii napendaje mabiringanya mie........kuna siku nikapata yanawasha nilinuna!!!

sasa hapo kitunguu saumu mbona hujaonesha umekitumia wapi na vipi?
 
Last edited by a moderator:
amu uuuwiiii napendaje mabiringanya mie........kuna siku nikapata yanawasha nilinuna!!!

sasa hapo kitunguu saumu mbona hujaonesha umekitumia wapi na vipi?
 
Last edited by a moderator:
amu uuuwiiii napendaje mabiringanya mie........kuna siku nikapata yanawasha nilinuna!!!
sasa hapo kitunguu saumu mbona hujaonesha umekitumia wapi na vipi?
swaumu unatwanga na pilipili,kisha ukishatwanga utachanganya na ndimu au limao ndo unamwagia kwenye biringanya juu.
Sasa hapo shosti jaribu loo umekuwa makini
 
Last edited by a moderator:
mchaga visra umevijulia wapi?hiko chakula ni cha wasudan na wasomali.
Anyway si recipe tatizo chuma cha kupikia kisra utakitoa wapi?ukikipata niite nikupikie ulikosa vile vile naweza kukuazima au nikakuelekeza sehemu wakakutengenezea

basi hujui maa yangu ni MNUBI na hiki ni chakula chao.
zamani tulipokuwa tunakwenda kwa bibi yetu mzaa mama alikuwa anatupikia hii menu.
najua chuma nitakipata kwa mama
 
basi hujui maa yangu ni MNUBI na hiki ni chakula chao.
zamani tulipokuwa tunakwenda kwa bibi yetu mzaa mama alikuwa anatupikia hii menu.
n
aju
a chuma nitakipata kwa mama

damu ya kinubi?aisee hongera sana damu za kinubi si mchezo!!
Ukipata chuma nitakuwekea recipe karibu as a family tradition kila jumapili tunapika visra,mchuzi wa nyama uliochanganywa na mchicha ukaungwa na nazi,na maharage.
Na ugali kidogo kuna wawili hawapendi kisa
 
damu ya kinubi?aisee hongera sana damu za kinubi si mchezo!!
Ukipata chuma nitakuwekea recipe karibu as a family tradition kila jumapili tunapika visra,mchuzi wa nyama uliochanganywa na mchicha ukaungwa na nazi,na maharage.
Na ugali kidogo kuna wawili hawapendi kisa
noja nitafute chuma na nikipata nitakuita uje unipikie hapa nyumban kwangu nile na wanagu.
 
noja nitafute chuma na nikipata nitakuita uje unipikie hapa nyumban kwangu nile na wanagu.

no problem mimi na wewe tena sema kingine bt anza kugandisha ubongo wa ng'ombe kabisa ukutani
 
Acha kunifanya mate yanitoke hapa ofisini besti mbona inakuwa tamu hiyyo nikifika home nitaenda kupika nione radha yake asante bestito
mahitaji biringanya kama 4,chumvi,pilipili iliyotangwa pamoja na kitunguu swaumu

jinsi ya kuandaa:katakata mabiringanya slices
ndogondogo kisha weka kwenye bakuli uliloweka chumvi




changanya,kisha washa jika weka mafuta size kama vile unakaanga samaki au maandazi kisha mafuta yakipata moto weka biringanya kaanga mpaka zikiwa za brown kisha ipua weka kwenye chujio la nazi ili uchuje mafuta kisha chukua pilipili kidogo uliyotwanga changanya na ndimu kisha mwagia juu ya biringanya
Save mezani utalia na ugali na mboga yoyote,wali,pilau(hapa inanoga zaidi ) ↲
cc snowhite gfsonwin shansarie Mamndenyi Zahra White Madame B Kijino Heaven on earth charminglady YNNAH arabella Kaizer watu8 mimi49 Paloma ladyfurahia mimisa ladydoctor @
 
Back
Top Bottom