Upo km mie yaan,Browser habari za kubonyeza next na ukitaka kurudi mwanzo lazima urud had page ya kwanza vinanikwaza mnoo.
Halafu hata mpangilio wake haunivutii hata robo naona siku app ikifa na mimi ndo utakua mwsho wa kutumia jf
Wengine browser hatuiwezi, khaaaahKila siku tunawaambia tumieni browser
Browser ni nzuri sanaaWengine browser hatuiwezi, khaaaah
Poleni sana aisee...maana toka mmeanza kupiga kelele kuhusu picha huko kwenye App yenu hadi nawaonea huruma😌😌Wengine browser hatuiwezi, khaaaah
Duh hili ni tatizo sugu mimi zinaweza funguka mbili nyingine hazigungukPoleni sana aisee...maana toka mmeanza kupiga kelele kuhusu picha huko kwenye App yenu hadi nawaonea huruma[emoji18][emoji18]
Hilo naona ni tatizo la kudumu JF inazidiwa na app ya Mange kimambi.Salaam.
Kwa mwenye kujua tatizo hili naomba anieleweshe, mimi natumia jamii forum app, lakini Kuna tatizo la kutokufunguka kwa picha, unafanyaje kutatua changamoto hii?.
tumia browser mkuuDuh hili ni tatizo sugu mimi zinaweza funguka mbili nyingine hazigunguk
Changamoto iliyopo kwasasa ni kuwa sipati notifications kabisa, hata niki set on notifications Alert au niki update JF AppNaam wakuu,
Kwa mara nyingine tumeona tuboreshe huduma ya JF ili izidi kuwa rahisi kutumia.
Kwa sasa unaweza ku-Install JF App kwa PC au Tablet (iPad zikiwemo) na Simu za Mkononi (Android na iPhones).
FAIDA:
1) Ni rahisi kutumia na haina tofauti yoyote na main site, hakutakuwa na malalamiko tena kuwa kuna kukosa notifications au kushindwa kufanya actions kadhaa
2) Ni rahisi kufunguka kuliko unavyodhania. Installation yake inachukua sekunde moja au pungufu. Haichukui space kwenye simu yako au kifaa chako
3) Ukiwa offline, bado kuna content utakuwa na access nayo kwa urahisi zaidi. Hulazimiki kuwa mtandaoni
4) na mengine mengi
Hatua za kufuata:
Kwa wanaotumia PC:
Tembelea JF kwa kutumia Google Chrome Browser, kisha utaona sehemu kama hii kwenye browser yako:
View attachment 1791283
View attachment 1791292
Kisha bonyeza Install kama inavyoonekana hapa chini:
View attachment 1791284
Utaona tayari unayo App kwenye PC yako. Kuanzia hapo hutokuwa ukilazimika kutembelea tovuti kwa njia ya browsing ya kawaida.
Mfano, mwenye Macbkook ataona icon ya App ya JF ikiwa hivi:
View attachment 1791290
Kwa wanaotumia Android Devices:
Tumia Google Chrome (au native browser ya simu yako):
Bonyeza mistari mitatu iliyo kushoto mwa LOGO ya JamiiForums, utaona kitu kama hiki chini:
View attachment 1791285
View attachment 1791286
Bonyeza INSTALL kisha utaona hivi (itachukua sekunde 1 ku-Install)
View attachment 1791287
Kwa wanaotumia iPhone au iOS devices:
Tumia Safari Browser, bonyeza sehemu hizi zilizozungushiwa na fuata maelekezo kwenye simu... Just add to your device's home screen.
View attachment 1791288
View attachment 1791289
Ukikwama usisite kuuliza, tupo kwa ajili yako.
TAKE NOTE: Siku zijazo (sio karibuni) tutaondoa App zilizopo kwenye Google na Apple stores. Kuna mabadiliko zaidi yanakuja kwenye mwonekano na user experience katika kutumia huduma ya JF.
PS: Kuna watu wanataka kujua kuhusu kupata notifications. Tafadhali enable push notifications kwenye settings na utazipata bila shaka.
Karibuni
Hii App au Android App?Changamoto iliyopo kwasasa ni kuwa sipati notifications kabisa, hata niki set on notifications Alert au niki update JF App
App hii kwenye Android tatizo la notifications lipo piaHii App au Android App?
Kama ni hii, iondoe na iweke tena utaona kila kitu kiko sorted na hata some minor changes
Huyu jamaa kachokonoa hii app hadi imekua yakisoro.ile ladha yote imeondoka na hawarekebishi makusudi.JF ilikua zamani siku hizi hakuna kitu.Hilo naona ni tatizo la kudumu JF inazidiwa na app ya Mange kimambi.
mkuu nimekusikiliza leo katika mahojiano yako na BBC 14-9-2023 juu ya akili bandia .nafikiri unahaja ya kutufungua akili juu ya hili jamboHii App au Android App?
Kama ni hii, iondoe na iweke tena utaona kila kitu kiko sorted na hata some minor changes
Kwanini app hairusu kutumia fonts ambazo sawa sawa na unayotumia kwenye simu? App ya awali niliyokuwa naitumia ilikuwa inaenda sawa sawa na fonts yangu ya kwenye simu ila tokea ni update imekuwa haipo tena hivyo.Hii App au Android App?
Kama ni hii, iondoe na iweke tena utaona kila kitu kiko sorted na hata some minor changes
Boss kama hii JF app hamtaki kuiboresha basi itoeni kabisa isifanye kazi. This app is messing up too much!!Hii App au Android App?
Kama ni hii, iondoe na iweke tena utaona kila kitu kiko sorted na hata some minor changes