Nakazia halafu Wala hawajali ila yana mwisho haya ipo siku itatokea app bora na tutaipiga chini.
 
Hakika, kwa sasa maudhui ya jf haina tofauti na Facebook
 
Sasa hilo ni tatizo la JF au la jamii. Unawataka JF wafanyeje ili watu waache kuposti mataputapu.

Mataputapu hayo ni zao la jamii yetu na mfumo wetu wa hovyo wa elimu japo vijana wetu wanapata A za kutosha tena za points 7 tu. Lakini ukikaa nao ni weupe kichwani balaa. Hata wanaotoka vyuo vikuu ni hivyo hivyo.

Hili si tatizo la JF peke yake. Graduate hana uwezo wa kujenga hoja hata kwa jambo dogo tu na anachojua ni kuporomosha matusi basi...

Kazi tunayo wallahi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…