Nakazia halafu Wala hawajali ila yana mwisho haya ipo siku itatokea app bora na tutaipiga chini.App yenu ina bugs za kutosha tu. Mlifikiria nini kutengeneza app kama hii kwa kutumia php? Hiyo sio language Inayo weza kumaintain functionality zote hizi. Nawashauri mfanye redesigning tumieni Flutter au react native.
App mpaka saivi haioneshi pics
App haitoi notifications
Baadhi ya threads hazifinguki.
Hakika, kwa sasa maudhui ya jf haina tofauti na FacebookJf ilikua zamani siku hizi hakuna kitu.utaalamu umezidi hadi wameharibu.Itakua wameamua ijifie kifo cha asili taratibu kwasababu ata ule ugreat thinker ulishakufa kifo cha mende sasa hivi ni mataputapu tu.mtu akikirupuka uko na utindio wake wa ubongo anakuja kupost vingine ata havieleweki.
Sasa hilo ni tatizo la JF au la jamii. Unawataka JF wafanyeje ili watu waache kuposti mataputapu.Jf ilikua zamani siku hizi hakuna kitu.utaalamu umezidi hadi wameharibu.Itakua wameamua ijifie kifo cha asili taratibu kwasababu ata ule ugreat thinker ulishakufa kifo cha mende sasa hivi ni mataputapu tu.mtu akikirupuka uko na utindio wake wa ubongo anakuja kupost vingine ata havieleweki.
Every problem fixed
Every problem fixed
It's coming, next week.Mkuu mbona hakuna mabadiliko yoyote kwa ios users
We are tired of waiting MkuuIt's coming, next week.
Asante mkuu wangu