Samedi Amba
JF-Expert Member
- Nov 13, 2018
- 227
- 178
Hizo ni takwimu mjomba, mwenye mamlaka wa kuzitoa na kuzisambaza ni NECTA, sheria ya takwimu itakubana. Labda ukaongee nao muingie ubia ila huwa hawatoi ushirikiano.
Kiufupi utasumbuka sana, ila penye nia labda kuna njia ila njia iliyojaa miiba na vizuizi vingi sana.