App ya Simba ni kama tunapoteza pesa kwenye ada kulipia tupate taarifa na burudani

App ya Simba ni kama tunapoteza pesa kwenye ada kulipia tupate taarifa na burudani

chizcom

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
8,680
Reaction score
18,035
Mimi ni mwana-Simba na nilivutiwa sana kuona Simba ikizidi kusonga kidigitali ila hii digitali yao imelala nyuma kama kawaida yetu suala la ICT linakuwa tofauti na kulizika kabisa na mifumo yao.

Hii App ya Simba tulitarajia mengi mfano ukilinganisha na app za club nyingine app zao unaweza kuwa mwananchama wa kielectronic, ukapata offer ya tiketi, kushauri na kushiriki mijadala hata habari kuzipata kwa wakati kila muda. Ila kwa app ya Simba hakuna la maana yani habari zinachelewa kwa wakati.

App ya Simba badilikeni mjifunze kwa wenzenu ili mtu ukitoa pesa kulipia app ujue inakwenda sambamba na pesa yetu.
 
Kumiliki team ya maIT guru ni gharama sana ndio maana unaona apps nyingi za wabongo huwa hazieleweki
 
Mimi ni mwana-Simba na nilivutiwa sana kuona Simba ikizidi kusonga kidigitali ila hii digitali yao imelala nyuma kama kawaida yetu suala la ICT linakuwa tofauti na kulizika kabisa na mifumo yao.

Hii App ya Simba tulitarajia mengi mfano ukilinganisha na app za club nyingine app zao unaweza kuwa mwananchama wa kielectronic, ukapata offer ya tiketi, kushauri na kushiriki mijadala hata habari kuzipata kwa wakati kila muda. Ila kwa app ya Simba hakuna la maana yani habari zinachelewa kwa wakati.

App ya Simba badilikeni mjifunze kwa wenzenu ili mtu ukitoa pesa kulipia app ujue inakwenda sambamba na pesa yetu.
Mimi nilikuwa ni miongoni mwa watu wa mwanzoni kujiunga na hiyo app. Nililipia miezi miwili mfululizo. Nikaona huduma yao ni ya hovyo sana. Hakuna taarifa mpya kwa wakati. Ilikuwa, inaweza kupita siku nzima, bila kusoma habari mpya.
Nikaachana nayo!
 
Nashangaa kwanini tulipie wakati nchi zingine habari ni bure kabisa
 
Nashangaa kwanini tulipie wakati nchi zingine habari ni bure kabisa
Hayo MALIPO sio thamani halisi ya habari utakazozisoma bali ni mchango tu wa kuisaidia timu yetu.
 
Back
Top Bottom