App zetu za mikopo umiza mmezifanya nini tena wazee?

App zetu za mikopo umiza mmezifanya nini tena wazee?

Nikiwakumbuka tala sina hamu kabisa.
Wale jamaa wana ukatili ndani yao kwa asilimia flani
Kuna jamaa angu alikopa kama laki na nusu bhana, weeh si akaanza kutumiwa texts kwamba mkuu wao ni freemason wa nigeria huko ukieendelea kujifanya mgumu hutaki kurudisha hizo hela tutaanza na ndugu zako hadi wewe apo.......

Binafsi niliogopa kinomaa daaah
 
Wale jamaa wana ukatili ndani yao kwa asilimia flani
Kuna jamaa angu alikopa kama laki na nusu bhana, weeh si akaanza kutumiwa texts kwamba mkuu wao ni freemason wa nigeria huko ukieendelea kujifanya mgumu hutaki kurudisha hizo hela tutaanza na ndugu zako hadi wewe apo.......

Binafsi niliogopa kinomaa daaah
Huyo jamaa ako ndo wewe
 
Nikiwakumbuka tala sina hamu kabisa.
Hadi tala? Mbona nasikia wale hawana noma
Niliingia msala na bahari pesa ndugu wana moto hao! Kila nusu saa wanakurukia hewani. Mnatukanana mpaka unakasirika! Ukikata tu sms kama mia hivi.

Wana namba kama 700 hivi. Yani utablock utachoka wewe tu jamaa wako full snondo

Leo unaongea na huyu kesho anakupigia mpya hakujui kabisa kinatibuka kivumbi kama kile cha jana
 
Wale jamaa wana ukatili ndani yao kwa asilimia flani
Kuna jamaa angu alikopa kama laki na nusu bhana, weeh si akaanza kutumiwa texts kwamba mkuu wao ni freemason wa nigeria huko ukieendelea kujifanya mgumu hutaki kurudisha hizo hela tutaanza na ndugu zako hadi wewe apo.......

Binafsi niliogopa kinomaa daaah
Kin nani hao wanakopesha laki na nusu mkuu? Mm nikikopag elfu 6 tu kilitibuka kivumbi mzee mpaka app nikafuta.

Simu inapigwa kwa ndugu ujisalimishe kituo cha polisi kilicho karibu na wewe
 
Back
Top Bottom