Sina hakika sana na hiyo statement ya alhamisi ila ninacho fahamu ni kwamba wakitoa ni lazima waambie umma wangapi wamenufaika na kiasi gani kimetolewa kumbuka hizo public funds lazima zielezeweHivi ni kweli kwamba walisema wangetoa majibu ya appeals Alhamis iliyopita? The statement that the appeal results would be out last Thursday perhaps was just a misconstruation of what was said by the HESLB's CEO.
Wametoka?Naona wametoka kwa wale diploma
Wametoa leoWametoka?
SawaWametoa leo
Kuna ukweli wowote hapa? Maana bado masaa matatu na nusu tu tarehe 1 December itakuwa imekwisha na kuingia tarehe 2. Au maana ya kabla ya tarehe 2 December ni ipi?Vumilieni wakuu huenda wakatoa kama wanavyodaiView attachment 2829407
Hiyo kesho si ingekuwa leo au kesho ipi?Kwa wote walio appeal majibu yatatoka kesho.
Kuna watu wamepata hizi siku mbiliNauliza hivi Heslb walisema majibu ya Ku appeal yatatoka before dec 2,naleo ni tar 2 bado kimya duh hatari tupu,,
Huzuni tuNauliza hivi Heslb walisema majibu ya Ku appeal yatatoka before dec 2,naleo ni tar 2 bado kimya duh hatari tupu,,
Kweli?Kuna watu wamepata hizi siku mbili
Hao ni diploma ndiyo wamepata siku mbili hizi. Degree walisema kabla ya Dec 2 na leo ndiyo Dec 2 ngoja tuone.Kuna watu wamepata hizi siku mbili
kuna jamaa zangu nimeshuhudia wamepata na sio wa diploma ni degree kabisaKweli?
Ndio mkuu watu wamepata tena wengi tuKweli?
DuhHao ni diploma ndiyo wamepata siku mbili hizi. Degree walisema kabla ya Dec 2 na leo ndiyo Dec 2 ngoja tuone.
Haya basi [emoji1] wengine tumekosa kazi iendeleeNdio mkuu watu wamepata tena wengi tu
Hongera zao wengine bado tumeandikiwa tusubiri 8 November rufaa hahahakuna jamaa zangu nimeshuhudia wamepata na sio wa diploma ni degree kabisa