Khalifavinnie
JF-Expert Member
- May 19, 2017
- 2,796
- 2,367
Hawana ubaya....ni uchafuzi tu wa title yao,kwani freemasons mnaichukuliaje?,hawa watu walizichota pesa na wanazidi zichota kwa ubunifu wa majengo marefu(tower),na hata mabenk na pia majengo ya kifahari,tusome vitabu kiumakini tusikurupuke,mfamlme suleimani mwenyewe hekalu walimjengea wao,afu ili swala la adam na hawa walimega apple embu tuachane nalo,tambueni bible ni kitabu ndio kitakatifu ila cha kukopiwa baadhi ya maandiko ya agano la kale,toka uumbaji mpka marejesho ya waisrael kutk kule misri n.k....Nipe huo ushhidi kuwa Freemason sio watu wabaya kwanza halafu hayo mengine yatafuata baadae......
Umedanganya. Wozniak ni mwanachama wa freemason na iko wazi.Steve Jobs wala mwenzake Steve Wozniak walioanzisha apple hawakuwa freemason wala hawakuwa na muda wa kuamini dini yoyote.Jobs alikuwa anafata misingi ya kibudha...kwahiyo msiwahusishe na secret organization zozote.Kwanza walikuwa hawana muda..
Sasa ushahidi wako uko wapi kuwa Freemason siyo watu wabaya?Hawana ubaya....ni uchafuzi tu wa title yao,kwani freemasons mnaichukuliaje?,hawa watu walizichota pesa na wanazidi zichota kwa ubunifu wa majengo marefu(tower),na hata mabenk na pia majengo ya kifahari,tusome vitabu kiumakini tusikurupuke,mfamlme suleimani mwenyewe hekalu walimjengea wao,afu ili swala la adam na hawa walimega apple embu tuachane nalo,tambueni bible ni kitabu ndio kitakatifu ila cha kukopiwa baadhi ya maandiko ya agano la kale,toka uumbaji mpka marejesho ya waisrael kutk kule misri n.k....
Sent using Jamii Forums mobile app
Nataraji napenda.Sasa ushahidi wako uko wapi kuwa Freemason siyo watu wabaya?
Masonic hakuna ubaya,ila kuna wapakazia ubaya.Ndiyo umeandika nini hapa?
Unakua watu wengine sjui mnatoka wapi na hadithi zenu za kwenye vijiwe vya kahawa.Hebu soma AUmedanganya. Wozniak ni mwanachama wa freemason na iko wazi.
Steve Jobs - Giant Of Technology.
Soma autobiography ya Steve Jobs -STEVE JOBS halaf ndyo uje uongee upuuzi wako.No research no right to speak!Umedanganya. Wozniak ni mwanachama wa freemason na iko wazi.
Steve Jobs - Giant Of Technology.
Matusi ya nini kwenye hoja?Unakua watu wengine sjui mnatoka wapi na hadithi zenu za kwenye vijiwe vya kahawa.Hebu soma A
Soma autobiography ya Steve Jobs -STEVE JOBS halaf ndyo uje uongee upuuzi wako.No research no right to speak!
We kama unajielewa kweli unasemaje Jobs na Woz hawakuwa na muda wa kuamini dini yoyote alafu sentensi inayofuata unasema "Jobs alikuwa anafuata misingi ya kibudha!!!???"Steve Jobs wala mwenzake Steve Wozniak walioanzisha apple hawakuwa freemason wala hawakuwa na muda wa kuamini dini yoyote.Jobs alikuwa anafata misingi ya kibudha...kwahiyo msiwahusishe na secret organization zozote.Kwanza walikuwa hawana muda..
Jobs hakuna muumini wa dini,nimesema alikuwa anafata MISINGI ya budha sababu spiritual leader wake alikuwa anafata misingi ya kibudha.Ungekuwa unamjua vizuri Jobs kama unavyodai ungejua hili.Hata alipokuwa anafunga ndoa na Mke C. Powell walifunga ndoa ya kibudha..Naomba usinichoshe maana inaonekana unabishana vitu usivyovijua,hebu soma kwanza autobiography yake kwanza inayoitwa Steve Jobs iliyoandikwa na Walter Isaackson ndyo uje ubishane na Mimi.Acha na hizo source zingine kwanza.We kama unajielewa kweli unasemaje Jobs na Woz hawakuwa na muda wa kuamini dini yoyote alafu sentensi inayofuata unasema "Jobs alikuwa anafuata misingi ya kibudha!!!???"
Wananikera wanaojifanya wako makini kumbe hata katika maongezi yao wanajikanganya!
Steve Jobs - Giant Of Technology.
Ok.Steve
Jobs hakuna muumini wa dini,nimesema alikuwa anafata MISINGI ya budha sababu spiritual leader wake alikuwa anafata misingi ya kibudha.Ungekuwa unamjua vizuri Jobs kama unavyodai ungejua hili.Hata alipokuwa anafunga ndoa na Mke C. Powell walifunga ndoa ya kibudha..Naomba usinichoshe maana inaonekana unabishana vitu usivyovijua,hebu soma kwanza autobiography yake kwanza inayoitwa Steve Jobs iliyoandikwa na Walter Isaackson ndyo uje ubishane na Mimi.Acha na hizo source zingine kwanza.
Logo ya kwanza ya Apple ilikuwa designed mwaka 1976 na mtu aliyeitwa Ronald Wayne, ambaye wakati mwingine anafahamika kama mwanzilishi wa tatu wa Apple. Logo hiyo ya kwanza ilikuwa na picha ya Isaac Newton akiwa amekaa chini ya mti huku tunda la Apple likiwa mtini juu ya kichwa cha Isaac Newton.
Logo ya pili ilikuwa designed mwaka 1977 na designer aliyefahamika kwa jina la Rob Janoff. Kwa mujibu wake (Rob Janoff) alisema kuwa idea ya kuweka logo yenye apple lililong'atwa ni kwa sababu ya kulitofautisha na matunda mengine ambayo yanafanana na apple, for example: cherry fruits and others. Na hilo linaweza thibitishwa kwa 'size' ya sehemu iliyong'atwa kwenye apple.
Hiyo ni nadharia ya kwanza, wakati nadharia ya pili kuhusu icon ya apple ni kwamba mnamo mwaka 1954 mmojawapo ya wataalamu wa kompyuta aliyefahamika kwa jina la Alan Turing alifariki dunia huku pembeni ya kitanda chake kukiwa na apple lililong'atwa. Hali iliyopelekea watu kuhisin aliwekewa sumu kwenye apple. Turing alikuwa 'gwiji la kompyuta' kwani alikuwa vizuri sana kwenye coding na pia ana mchango mkubwa sana katika maendeleo ya teknolojia ya kompyuta, hivyo kitendo cha Rob Janoff kuweka alama ya apple iliyong'atwa ni kama kumuenzi Janoff aliyefariki huku pembeni ya kitanda chake kukiwa na Apple lililong'atwa.
Nadharia ya mwisho inayofahamika kuhusu logo ya apple ni hiyo ambayo mtoa mada amekuja nayo, kuhusu Apple ambalo kipande chake kiling'atwa na Hawa kwenye bustani ya Eden.
Sina jibu kamili lakini kupitia nadharia tatu nilizoorodhesha hapo juu unaweza kupata mwanga wa kuchimba zaidi
'dig deep' kisha atakayepata jibu kamili asisite kuja kutupa mrejesho humu jukwaani.
Usipende kuhoji vitu usivyoweza kupata ukweli wakeinteresting........
ishu za Freemasons na Illuminati ziko so confusing
sometimes hujui kipi cha kweli kipi uongo
mmara utasikia namba 6 ndo ya iluminati
mara namba 7 mara namba 9 mradi hujui ipi kweli au yote uzushi