Apple icon na dhana inayoleta maswali

Apple icon na dhana inayoleta maswali

Eiyer

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2011
Posts
28,259
Reaction score
20,891
Kuna mambo ambayo yanatokea humu duniani ambayo yanamfanya mtu yoyote yule ajiulize maswali mengi bila kupata majibu,kuna zile habari za vyama vya siri ambazo leo zinaonekana kama ngano kwa baadhi ya watu na kwa wengine zikiwa kama ni mambo ambayo yana uhalisia wake

Nimekuwa nikijiuliza sana kuhusu hii logo ya bidhaa zinazokwenda kwa jina la Apple,ni kwanini hiyo logo au icon inaonekana imeng'atwa?

Yaani linaonekana tunda hilo la Apple limeng'atwa kipande,kwanini iko hivyo?

Kuna nadharia nyingi sana kuhusiana na hili lakini ile ambayo inaonekana kupata nguvu ni ile ya tunda hilo kuwakilisha tunda lililoliwa pale Eden na Adam na Hawa kuashiria dhambi kuingia duniani,hili linaonekana kupata nguvu kwasababu ya mazingira yenyewe ya logo hiyo

Wenye kukubaliana na hii ya Eden wanaendelea kusema kuwa hili linawakilisha wenye bidhaa hizi kukubaliana na dhana ya shetani kutaka kumuokoa mwanadamu na 'udikteta" wa Mungu na kumpa uhuru hivyo wanaendeleza mapambano ya kumuondoa binadamu kutoka kwenye huo udikteta na ndio maana wanakubaliana na shetani

Hebu tazama hizi picha hapa chini ......

images
images
images
images
images
images
images


Hizo ndio logo za hawa jamaa,kama kuna mtu ambae ana maelezo ya kwanini ziko hivyo basi sio vibaya akatueleza hapa nasi tukaelewa maana kuna watu kama hawa hawa wanaendelea na dhana kama hizi;

Apples represent knowledge and man's first sin. Given the Illuminati's satanic rituals and devil worship, the apple has great significance. To those that follow Beelzebub, Adam and Eve's first bite of the forbidden fruit became the dawn of a new era, the era where the devil could rule the world. The selection of the apple symbolizes the Illuminati's push toward technological knowledge with the endorsement of satan.

Hebu tujaribu kuangalia na hili ili tuweze kupata majibu angalau kidogo ambayo yataweza kuturidhisha .....!!
 
interesting........

ishu za Freemasons na Illuminati ziko so confusing
sometimes hujui kipi cha kweli kipi uongo

mmara utasikia namba 6 ndo ya iluminati
mara namba 7 mara namba 9 mradi hujui ipi kweli au yote uzushi
 
interesting........

ishu za Freemasons na Illuminati ziko so confusing
sometimes hujui kipi cha kweli kipi uongo

mmara utasikia namba 6 ndo ya iluminati
mara namba 7 mara namba 9 mradi hujui ipi kweli au yote uzushi

Mkuu,

Haya mambo watu wanadai ni ya kufikirika lakini yana maswali mengi sana kuliko majibu na watu wameamua tu kuishia kusema ni hadithi kwasababu hawana majibu

Ni kweli haya mambo yanachanganya lakini yanashangaza sana

Sasa mfano hilo tunda,unaweza kujiuliza tu ni kwanini liwe limeng'atwa?

Kuhusiana na namba hilo nalo ni jambo lingine linaloshtua sana na kushangaza pia!
 
It's just a trademark,,, biashara hiyo mkuu...being different in business makes you unique...Hizo dhana nyingine ni watu wanatunga tu baada ya kushiba .

Mkuu yaani hivyo tu?
 
Mkuu yaani hivyo tu?

Masonic idea ni hila tu za kusumbua ubongo wa watu, mambo km haya uthibitishaji wake ni mgumu na nadhani kwa sababu hakuna mambo km hayo...fanya kazi kwa bidii, push yourself up to the limit then baada ya kupata mafanikio kiasi..kisha utasiki "He is a masonic believer" na jina lako la #Uledi litaogopwa kwamba la ki-freemason.
 
Eiyer ,
Kuna thread moja alishawahi kuchangia Kiranga aliandika kitu tofauti kidogo na hicho, nadhani anaweza akaja na kuchangia tena.
Usawa huu ukitaka ku boycott vya mashoga bora u boycott Hollywood, Wall St in fact the USA and the internet.

From Silicon Valley to Silicon Alley kumejaa mashoga.

Wakishangaa Tim Cook leo ni kukosa kujua mambo tu.

Hilo "apple" la kwenye kampuni ya apple wanajua historia yake?

Hilo ni apple la sumu alilokula Alan Turing na kujiua kwa sababu alisakamwa na serikali ya Uingereza kwa sababu ya ushoga, licha ya kwamba aliisaidia Uingereza kushinda WWII kwa ujuzi wake wa computer.

Ndiyo maana unaona apple limeliwa na si kamili. Aliyekula Alan Turing.

Halafu angalia rangi za logo na rangi za bendera ya mashoga.

http://edibleapple.com/wp-content/uploads/2009/04/apple_rainbow_logo.jpeg


Watu wanatumia Apple siku zote hata maana yake hawajui.
 
Last edited by a moderator:
Masonic idea ni hila tu za kusumbua ubongo wa watu, mambo km haya uthibitishaji wake ni mgumu na nadhani kwa sababu hakuna mambo km hayo...fanya kazi kwa bidii, push yourself up to the limit then baada ya kupata mafanikio kiasi..kisha utasiki "He is a masonic believer" na jina lako la #Uledi litaogopwa kwamba la ki-freemason.

Nafahamu kuna watu wavivu wa kufikiri ambao wanaogopa kufikiri vingine na mtu akifanikiwa tu wanamhusisha na Mason,lakini hii haina maana kuwa Mason hawapo kweli

Kusema tu "ishu za mason ni za kufikirika" unakuwa hujatendea haki yote haya na mengine ambayo yanathibitisha uwepo wa hawa watu
If the logo is not proof enough of how evil Apple is, just check out the names of their products, iPad, iMac, iPod, etc. What's the one thing they all have in common? They all begin with the letter "I." Why did the company decide to place this particular letter as the focal point of their products? Did they do it because it sounded cool? Was it because the "I" is supposed to represent you? The answer to all of these questions is an emphatic no. The "I" stands for Illuminati and the product names that have etched themselves into the vernacular are really the short versions of their real titles, Illuminati Pad, Illuminati Pod, and Illuminati Phone. What might even be the most creepy is the full name for iTunes, Illuminati Tunes. Given how the music industry is so twisted with NWO influences, this makes a perfect fit.
 
Kuna thread moja alishawahi kuchangia Kiranga aliandika kitu tofauti kidogo na hicho, nadhani anaweza akaja na kuchangia tena.

Nimeyasoma maelezo ya Kiranga na yanatoa mwanga angalau kwa kiasi fulani ...

Kwa maana hiyo,kampuni ya Apple ilikuwa dedicated kwa mashoga au?
 
Last edited by a moderator:
Nafahamu kuna watu wavivu wa kufikiri ambao wanaogopa kufikiri vingine na mtu akifanikiwa tu wanamhusisha na Mason,lakini hii haina maana kuwa Mason hawapo kweli

Kusema tu "ishu za mason ni za kufikirika" unakuwa hujatendea haki yote haya na mengine ambayo yanathibitisha uwepo wa hawa watu

Kaka nisikupe shida, hayo maoni ni yangu na ndio mtazamo wangu.,hivyo daima nitakua hivyo and there is nothing you can do persuade me believe in what you and your fellow friends believe...I say there is no such a thing, It's just a myth like any other.
 
Sidhani kama ni sahihi karibu kila kitu chenye mafanikio makubwa kuhusishwa na imani za ki-masonic. Apple wamejaribu kuleta bidhaa zenye muonekano tofauti na wengine ndo maana wanakuwa na mafanikio makubwa. Logo ya apple ni njia ya kuwa unique kama wengine wanavyofanya na hata wangeweka logo ya aina nyingine ungeuliza maswali kama haya.
 
Lakini Kabla Ya kuanzisha kampuni Steve jobs alikuwa anakula sana apples pia alikuwa analima kabisa Na ikafikia muda alikuwa Hali Chochote zaidi Ya Apple me nikahisi aliita Apple Na kuweka logo Ya Apple coz mwili wake wote ulikuwa ni Apple Na akili aliweza kuitumia vizur coz Ya Apple tu
 
Back
Top Bottom