Apple imekuwa kampuni ya kwanza kufikia thamani ya soko ya dola trilioni tatu

Apple imekuwa kampuni ya kwanza kufikia thamani ya soko ya dola trilioni tatu

Sisi wa itel soko letu lipo vp mkuu??? maana naipenda sana hii simu.
 
Wanastahili.apple sehemu kubwa wanamfanya mteja ahisi anathaminiwa.samsung ni kampuni inayofanya kitu pia.
 
Wanastahili.apple sehemu kubwa wanamfanya mteja ahisi anathaminiwa.samsung ni kampuni inayofanya kitu pia.
Sasa hivi vita ya urusi imeathiri sana makampuni ya Tech ya West, wameshuka wapo 2.7T, Microsoft, Intel, Amazon na wengineo pia wamedrop sana.
 
Sasa mimi bada ninayo hadi sasa na nakugongea bit sasa hivi ni Sumsung J7 tangu miaka hiyo kama miaka minne huko au sita , simu hii haichoki nachaji usiku hadi usiku, hakuna stack wala nini yaani nina glide smoothly, kila kitu chake kinaridhisha, ina tochi kali, good pictures, usikivi mzuri yaani wa simu hauumizi masikio,
Ila tahadhari , tangu nianze kutumia hii simu sasa macho yangu yamepungua uwezo wa kuona clear pictures mwanga ukiwa mdogo namaanisha maandishi ya vitabu yaliyo madogo kama bi blia zile za zamani, sina long wala short sited nikiwasha tochi naona clear, naomba ushauri wa kula na sio kuvaa miwani, naomba ushauri mzuri..
 
Nadhani sasa hivi wanakuja vizuri kwenye betri. Niliona mkbh anareview simu akasema iphone 13 pro max ndiyo simu inayokaa na chaj sana kuliko hata flagships nyingine ukiondoa moto G
Hivi mnapoangaliaga ubora wa simu huwa mnaangaliaga charge tu?
 
Back
Top Bottom