Apple kwenye Airpods mpya wapewe maua yao

Apple kwenye Airpods mpya wapewe maua yao

Mnakosa sana utamu,

Kuna siku nilikua na malaya mmoja home akawa na hizo earbuds na iphone yake anajishau tu baada ya game.

Nikalala zangu asbh naenda jogging ile narudi ndo akaona nmevaa nuratrue, ile kuzitoa akaomba kujaribu sababu hata shape yake ni unique. Kujaribu si kaanza kunililia nimuachie nikasema hapana, mara ohh usinilipe niachie tu hizi nikasema no, kwanza K ya 50k ila nuratrue nlinunua kwa almost laki nne za kibongo (usd 180 by then)

Ni brand fln utaikuta kwa elites tu
Jipakulie minyama mzee....
 
Stereo sio about high and mids

Stereo Ni ile hali ya spika mbili kupiga two channel not mono ..

Namna zinapokezana beat na vionjo kadhaa hio ndo stereo

Hivo ukikuta radio ama amp iko na stereo means inaweza piga two channel Kama zinavotoka studio
Mzee Stereo ni audio channels Left and Right. Mziki unapotayarishwa unapangwa kwenye hizo channels.
 
Mdogo angu alikua ananisimulia.....Mimi nimezeeka nawa achia vijana...😊😊😊🤓🤓🤓
Kwenye tasnia ya music systems na vinu huwezi kukwepa Giants wa kijapani kama akina Kenwood, Sony, Pioneer na wamarekani kama Bose, JBL, Harman Kardon na wengineo.

Mimi ni music Enthusiast toka niko ng'aa na nimeshapitia mengi ila nikiri tu sijawahi kuwa fan wa products za Apple na accessories zao ila hivi karibuni nikiwa katika harakati za kutafta earphones ikiwa nilishatumia AKG by Samsung na kuzipenda nikaanza kuzisaka bila mafanikio zote zilikuwa famba.

Katika moja na mbili nikaamua nimenye za Apple japo kishingo upande ili niweze kuzitest nkapachika na kuset bluetooth na kuweza kuwasha walkman app yangu ikiwa kwenye default settings. Baada ya nyimbo ya kwanza tu kugonga nikawa so amazed nazo.

Kile ambacho nilikuwa nakitafuta nilikipata instantly. Sikuwahi kufikiri apple wanaweza kutengeneza earphone za kinyama namna hii hasa baada ya kusikiliza nyanga zao walizotoa before na watu walikuwa wanasifia nini hasa maana sikuona maajabu.


Kwenye hizi inner ear naomba niwape maua yao hawa vijana wa Steve cook. Kwa hakika wame cook earphones zenye kiwango cha Standard Gauge kwa sasa. Bass iko tight na acoustics ziko balanced. Earpods oyeee!!! 😀View attachment 2612969
 
Hahaha mbona kukatishana tamaa mzee kwamba wamefunga kiwanda ama? si mkuu Teslarati juzi tu hapa amemringishia mtu hizo earpods baada ya kutoka jogging?.
Anatania tu huyo, Nura wako specialized na hizi mambo, sio kama apple au sony ambao wana madude kibaoooo, wao wamespecialized na hii part tu, automatically lazima wakupe product nzuri. Nmekuwekea picha kwenye comment nlokuquote mwanzo, angalia hata cover tu, ngoma buttons zake ni next-gen stuff, The whole thing is actually next gen

Do a simple google search on nuratrue
 
Bro Extrovert na mi napenda sana music. Ila product za Apple aisee gharama sana.

Mfano izo ulizoweka Airpod Pro 2nd gen Original mpya kabisa $250 just imagine. Ukiona umeuziwa tofauti na iyo bei ni either used au fake.

Mi uwa najaribu mbadala wake mfano sasa natumia Redmi Bud 3.
PXL_20230507_150322071.PORTRAIT.jpg


Ingawa zenyewe sio in-ear ni zile za kuweka kwa nje, sijazipenda sana maana hazina ANC.

Nilichojifunza, kama unataka Bass chukua izo kama za Apple ulizopost ata kama ni copy. Hivi vya kuweka tu nje vibaya ukiwa kwenye makelele ata hausikii music wala ukiongea na simu hausikiki vema.
 
Anatania tu huyo, Nura wako specialized na hizi mambo, sio kama apple au sony ambao wana madude kibaoooo, wao wamespecialized na hii part tu, automatically lazima wakupe product nzuri. Nmekuwekea picha kwenye comment nlokuquote mwanzo, angalia hata cover tu, ngoma buttons zake ni next-gen stuff, The whole thing is actually next gen

Do a simple google search on nuratrue
Nilishaona mkuu hata sasa nilikuwa nacross check kwenye website yao jamaa wako vyema sana hata makamanda waliotupia maskioni inavutia sana, sio kama hizi za kwetu ukimuangalia mtu kwa haraka haraka utadhani amegandiwa na wadudu maskioni vitu havieleweki.
 
Anatania tu huyo, Nura wako specialized na hizi mambo, sio kama apple au sony ambao wana madude kibaoooo, wao wamespecialized na hii part tu, automatically lazima wakupe product nzuri. Nmekuwekea picha kwenye comment nlokuquote mwanzo, angalia hata cover tu, ngoma buttons zake ni next-gen stuff, The whole thing is actually next gen

Do a simple google search on nuratrue
Screenshot_20230507-181035_Chrome.jpg
 
Bro Extrovert na mi napenda sana music. Ila product za Apple aisee gharama sana.

Mfano izo ulizoweka Airpod Pro 2nd gen Original mpya kabisa $250 just imagine. Ukiona umeuziwa tofauti na iyo bei ni either used au fake.

Mi uwa najaribu mbadala wake mfano sasa natumia Redmi Bud 3.
View attachment 2613528

Ingawa zenyewe sio in-ear ni zile za kuweka kwa nje, sijazipenda sana maana hazina ANC.

Nilichojifunza, kama unataka Bass chukua izo kama za Apple ulizopost ata kama ni copy. Hivi vya kuweka tu nje vibaya ukiwa kwenye makelele ata hausikii music wala ukiongea na simu hausikiki vema.
Imagine $250 na $1.5 ya Extrovert hahaha.
 
Back
Top Bottom