Apple kwenye Airpods mpya wapewe maua yao

Apple kwenye Airpods mpya wapewe maua yao

Kwenye tasnia ya music systems na vinu huwezi kukwepa Giants wa kijapani kama akina Kenwood, Sony, Pioneer na wamarekani kama Bose, JBL, Harman Kardon na wengineo.

Mimi ni music Enthusiast toka niko ng'aa na nimeshapitia mengi ila nikiri tu sijawahi kuwa fan wa products za Apple na accessories zao ila hivi karibuni nikiwa katika harakati za kutafta earphones ikiwa nilishatumia AKG by Samsung na kuzipenda nikaanza kuzisaka bila mafanikio zote zilikuwa famba.

Katika moja na mbili nikaamua nimenye za Apple japo kishingo upande ili niweze kuzitest nkapachika na kuset bluetooth na kuweza kuwasha walkman app yangu ikiwa kwenye default settings. Baada ya nyimbo ya kwanza tu kugonga nikawa so amazed nazo.

Kile ambacho nilikuwa nakitafuta nilikipata instantly. Sikuwahi kufikiri apple wanaweza kutengeneza earphone za kinyama namna hii hasa baada ya kusikiliza nyanga zao walizotoa before na watu walikuwa wanasifia nini hasa maana sikuona maajabu.


Kwenye hizi inner ear naomba niwape maua yao hawa vijana wa Steve cook. Kwa hakika wame cook earphones zenye kiwango cha Standard Gauge kwa sasa. Bass iko tight na acoustics ziko balanced. Earpods oyeee!!! 😀View attachment 2612969
Nitakupa link ya lenovo za ku touch AliExpress Ni 30k tu

Speedaf siku 12 iko mikononi mwako ziko njema sana
 
Sasa kamanda kama hiyo makitu ni famba, maua tuwape Apple au macho madogo wazee wa kufyatua mafamba?
Tuwape maua Apple tu mkuu. Bila hii innovation Wan Ying asingefanya kazi.
DSC_0794.JPG
 
Hahahahaaa.

Tukisema tusinunue vya bei kubwa na walengwa ni sisi zitabakia kama zilivyo.
We unafikiri kwanini wahindi wamejaza aborder na Mr. UK kwenye maduka yao ambayo mwaka 2008 yalikuwa yana name brands tu. Kama Sony, Panasonic, LG, Samsung.

Mchina sio mtu, we toa ya laki3 yeye anatoa hio hio ya elfu 30.🤣🤣🤣 Kitu ni kile kile
 
Natumia Selenium Player, ina powerful Equalizer. Napunguza highs mziki unabaki mzito tu.
Stereo sio about high and mids

Stereo Ni ile hali ya spika mbili kupiga two channel not mono ..

Namna zinapokezana beat na vionjo kadhaa hio ndo stereo

Hivo ukikuta radio ama amp iko na stereo means inaweza piga two channel Kama zinavotoka studio
 
Unamaanisha hupendi high bila shaka
Eh napenda thumping deep bass na highs ila zisizidi. Unakuta naminya mids kidogo then highs zinakuwa level. Hii inasaidia kusikiliza mziki mda mrefu bila kupata ear fatigue.

Sasa hizi Pods wame enhance sana Bass na Crispy highs kuna baadhi ya nyimbo zenye 320kbps zinafanya distortion ukiweka full volume kama vile zimekuwa Pre-amped zaidi. Ila nishaiset mahali imetulia tu sasa.
 
Back
Top Bottom