Jipakulie minyama mzee....Mnakosa sana utamu,
Kuna siku nilikua na malaya mmoja home akawa na hizo earbuds na iphone yake anajishau tu baada ya game.
Nikalala zangu asbh naenda jogging ile narudi ndo akaona nmevaa nuratrue, ile kuzitoa akaomba kujaribu sababu hata shape yake ni unique. Kujaribu si kaanza kunililia nimuachie nikasema hapana, mara ohh usinilipe niachie tu hizi nikasema no, kwanza K ya 50k ila nuratrue nlinunua kwa almost laki nne za kibongo (usd 180 by then)
Ni brand fln utaikuta kwa elites tu
Mzee Stereo ni audio channels Left and Right. Mziki unapotayarishwa unapangwa kwenye hizo channels.Stereo sio about high and mids
Stereo Ni ile hali ya spika mbili kupiga two channel not mono ..
Namna zinapokezana beat na vionjo kadhaa hio ndo stereo
Hivo ukikuta radio ama amp iko na stereo means inaweza piga two channel Kama zinavotoka studio
Hahaha mbona kukatishana tamaa mzee kwamba wamefunga kiwanda ama? si mkuu Teslarati juzi tu hapa amemringishia mtu hizo earpods baada ya kutoka jogging?.Hakuna kitu kama Nura. Tafta Oraimo tu mzee acha kuteseka Nura anauza spea za pikipiki sikuhizi π€£
π€£π€£π€£ dp π€£π€£π€£Tunajua ni Earpodsβ¦ nazo niko kama nilivyotaja hapo juu
Unazingua bwana..Hii yaweza kuwa first copy maana nimechukua duka la jumla kwa luteni tu (10K) ila nahisi ndio tunazouziwa zaidi ya elfu 20 mtaani.
π€£π€£π€£π€£Unazingua bwana..
Abee ππ€£π€£π€£ dp π€£π€£π€£
Aliekutifua hadi ukaweka iyo prof pic πAbee π
Kwenye tasnia ya music systems na vinu huwezi kukwepa Giants wa kijapani kama akina Kenwood, Sony, Pioneer na wamarekani kama Bose, JBL, Harman Kardon na wengineo.
Mimi ni music Enthusiast toka niko ng'aa na nimeshapitia mengi ila nikiri tu sijawahi kuwa fan wa products za Apple na accessories zao ila hivi karibuni nikiwa katika harakati za kutafta earphones ikiwa nilishatumia AKG by Samsung na kuzipenda nikaanza kuzisaka bila mafanikio zote zilikuwa famba.
Katika moja na mbili nikaamua nimenye za Apple japo kishingo upande ili niweze kuzitest nkapachika na kuset bluetooth na kuweza kuwasha walkman app yangu ikiwa kwenye default settings. Baada ya nyimbo ya kwanza tu kugonga nikawa so amazed nazo.
Kile ambacho nilikuwa nakitafuta nilikipata instantly. Sikuwahi kufikiri apple wanaweza kutengeneza earphone za kinyama namna hii hasa baada ya kusikiliza nyanga zao walizotoa before na watu walikuwa wanasifia nini hasa maana sikuona maajabu.
Kwenye hizi inner ear naomba niwape maua yao hawa vijana wa Steve cook. Kwa hakika wame cook earphones zenye kiwango cha Standard Gauge kwa sasa. Bass iko tight na acoustics ziko balanced. Earpods oyeee!!! πView attachment 2612969
πππ imefanyaje? Ni mbaya? Nitoe?Aliekutifua hadi ukaweka iyo prof pic π
HahahahahaaaaHakuna kitu kama Nura. Tafta Oraimo tu mzee acha kuteseka Nura anauza spea za pikipiki sikuhizi π€£
Anatania tu huyo, Nura wako specialized na hizi mambo, sio kama apple au sony ambao wana madude kibaoooo, wao wamespecialized na hii part tu, automatically lazima wakupe product nzuri. Nmekuwekea picha kwenye comment nlokuquote mwanzo, angalia hata cover tu, ngoma buttons zake ni next-gen stuff, The whole thing is actually next genHahaha mbona kukatishana tamaa mzee kwamba wamefunga kiwanda ama? si mkuu Teslarati juzi tu hapa amemringishia mtu hizo earpods baada ya kutoka jogging?.
Nilishaona mkuu hata sasa nilikuwa nacross check kwenye website yao jamaa wako vyema sana hata makamanda waliotupia maskioni inavutia sana, sio kama hizi za kwetu ukimuangalia mtu kwa haraka haraka utadhani amegandiwa na wadudu maskioni vitu havieleweki.Anatania tu huyo, Nura wako specialized na hizi mambo, sio kama apple au sony ambao wana madude kibaoooo, wao wamespecialized na hii part tu, automatically lazima wakupe product nzuri. Nmekuwekea picha kwenye comment nlokuquote mwanzo, angalia hata cover tu, ngoma buttons zake ni next-gen stuff, The whole thing is actually next gen
Do a simple google search on nuratrue
Anatania tu huyo, Nura wako specialized na hizi mambo, sio kama apple au sony ambao wana madude kibaoooo, wao wamespecialized na hii part tu, automatically lazima wakupe product nzuri. Nmekuwekea picha kwenye comment nlokuquote mwanzo, angalia hata cover tu, ngoma buttons zake ni next-gen stuff, The whole thing is actually next gen
Do a simple google search on nuratrue
Imagine $250 na $1.5 ya Extrovert hahaha.Bro Extrovert na mi napenda sana music. Ila product za Apple aisee gharama sana.
Mfano izo ulizoweka Airpod Pro 2nd gen Original mpya kabisa $250 just imagine. Ukiona umeuziwa tofauti na iyo bei ni either used au fake.
Mi uwa najaribu mbadala wake mfano sasa natumia Redmi Bud 3.
View attachment 2613528
Ingawa zenyewe sio in-ear ni zile za kuweka kwa nje, sijazipenda sana maana hazina ANC.
Nilichojifunza, kama unataka Bass chukua izo kama za Apple ulizopost ata kama ni copy. Hivi vya kuweka tu nje vibaya ukiwa kwenye makelele ata hausikii music wala ukiongea na simu hausikiki vema.
Hahaha bro anazingua sana. Akija jaribu siku izo Original za Apple ataomba Melo aweke pin π bandiko lake.Imagine $250 na $1.5 ya Extrovert hahaha.
Sijui muziki ila design haijakaa kinyakyusa kabisa. Ni kama earbuds za Google (Pixel Earbuds) sijapenda.
Hayatokuwa kweli ni yale ma-studs anayoongeleaga Dr. MariposaAliekutifua hadi ukaweka iyo prof pic π
Yaani mkuu inaonekana kuna vitu vizuri sana shida ni hela hatuna, hizo $550 zina nini cha mno?.Hahaha bro anazingua sana. Akija jaribu siku izo Original za Apple ataomba Melo aweke pin π bandiko lake.
Apple wapuuzi wana earphones π§ zao moja aanauza $550 hivi aisee (Airpod Max). Haya maisha aya.