Apple kwenye Airpods mpya wapewe maua yao

Utakuwa umepokea mzigo toka Apple siyo bure.
 
Hahahaha braza unasema hamna kitu kwamba maskio yangu yanadanganya?[emoji3]
We ulitaka niseme ni elfu 50 ili uamini ni nzuri.

Amini nikitaka kufanya biashara naweza wapata wengi nikawauzia hata 30K tu mikoani. Zina mziki mzuri uliojaa.
Wabongo kila kitu ujuaji MTU kaenda katest kaona iko powa kaja kutoa feedback watu mbamba nyingi

Aya anayeuza pod za akg aje Dm
 
Oraimo nimejaribu za waya jana zinagonga vizuri sema tu sababu ni Oraimo na sikutaka za waya. Nataka za Bluetooth. Huwa wanauzaje Pods zake?
ORAIMO NI firee nimetumia earphones zake zinagonga noma na zinadumu Sasa hv nataka ninunue Head phone zake kabisa zile za 95k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…