Apple kwenye Airpods mpya wapewe maua yao

tatizo mtu akiambiwa charge 3 vile ilivyo ndogo ni laki 3 hataki hata kutest tena anaishiwa nguvu anaondoka,akifika sehem akaambiwa hii ni elfu 45 anaona yeeees.
Kuwa na roho ya kizungu kazi sana mzee acha wapigwe Tu Mimi mpaka Leo situmia sabwoofer sijui alitop seapiano sijui aliyon sizitaki cozi sipati Kitu Kile sikio , moyo na ubongo vinataka


Then I go for JBL ,BOSE ,OKYO,ANKER,SONY,WONDERBOOM
 
Ancha mi Nina hii JBL flip 5 naisukuma nivute Xtreme
 
Wadau kwa aliewahi kutumia hili dundo alete mrejesho kuna mahali nimeziona nikipata hela nizihamishie kutoka dukani hadi kwenye masikio yangu

NB;NAJUA JBL hawana Kazi mbovu kabisa
 
Kuwa na roho ya kizungu kazi sana mzee acha wapigwe Tu Mimi mpaka Leo situmia sabwoofer sijui alitop seapiano sijui aliyon sizitaki cozi sipati Kitu Kile sikio , moyo na ubongo vinataka


Then I go for JBL ,BOSE ,OKYO,ANKER,SONY,WONDERBOOM
Mkuu mimi ninaka subwoofer Aborder nilikachukua 2017 Moshi ..
Aise sikufichi maana najua mziki mzuri kanadunda ni balaa
NB;Tusi zi understimate product za kichina.
 
Kana base kubwa au ww ni mzee wa treble.
 
Airpods pro 3 na 4 zote wiki hii nimejarbu kwa mara nyingine tena...
Hamna base mule kwa wanaopenda mziki mzuri hawatumii hizo pods
Bado sijapata wireless earbuds zinazokita
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…