Mzimu wa Kolelo
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 2,790
- 8,330
Pamoja mkuu Mkuu wangu nakuelewa VIZURI sanaNashukuru mkuu, sikutaka kutumia kiingereza cha ndani ndani sana. Nayaelewa vizuri uliyoandika.
Nitakupa link ya lenovo za ku touch AliExpress Ni 30k tuKwenye tasnia ya music systems na vinu huwezi kukwepa Giants wa kijapani kama akina Kenwood, Sony, Pioneer na wamarekani kama Bose, JBL, Harman Kardon na wengineo.
Mimi ni music Enthusiast toka niko ng'aa na nimeshapitia mengi ila nikiri tu sijawahi kuwa fan wa products za Apple na accessories zao ila hivi karibuni nikiwa katika harakati za kutafta earphones ikiwa nilishatumia AKG by Samsung na kuzipenda nikaanza kuzisaka bila mafanikio zote zilikuwa famba.
Katika moja na mbili nikaamua nimenye za Apple japo kishingo upande ili niweze kuzitest nkapachika na kuset bluetooth na kuweza kuwasha walkman app yangu ikiwa kwenye default settings. Baada ya nyimbo ya kwanza tu kugonga nikawa so amazed nazo.
Kile ambacho nilikuwa nakitafuta nilikipata instantly. Sikuwahi kufikiri apple wanaweza kutengeneza earphone za kinyama namna hii hasa baada ya kusikiliza nyanga zao walizotoa before na watu walikuwa wanasifia nini hasa maana sikuona maajabu.
Kwenye hizi inner ear naomba niwape maua yao hawa vijana wa Steve cook. Kwa hakika wame cook earphones zenye kiwango cha Standard Gauge kwa sasa. Bass iko tight na acoustics ziko balanced. Earpods oyeee!!! šView attachment 2612969
Mkuu hizo hazina kodi sasa? Tusije tukaziacha Posta pale. Maana unanunua 30K kodi laki 2 balaa zito. Hebu tupeane mustakabali mzima hadi kuinjoy nayo magetoni! šNitakupa link ya lenovo za ku touch AliExpress Ni 30k tu
Speedaf siku 12 iko mikononi mwako ziko njema sana
Hahahah.š Mzee umeamua kuiua kabisa.
Hizo 5th copy ni zile nyanga za buku 2 š¤£š¤£š¤£ ila sio hichi nachosikilza mimi tena nimei pair up na Selenium Player ni hatari na nusu.
Kwamba chung ming he.Tuwape maua Apple tu mkuu. Bila hii innovation Wan Ying asingefanya kazi.
View attachment 2613455
Bob sambeke tunaomba hiyo link mapema usisahau mkuu.Nitakupa link ya lenovo za ku touch AliExpress Ni 30k tu
Speedaf siku 12 iko mikononi mwako ziko njema sana
Stereo una edit aje?Inner ear Bass yake ni nzuri iko balanced na stereo. Mdundo mkubw na mchicha mwingi sema mi huwa sipendagi stereo huwa naiedit kidogo.
Zile generation ya kwanza zenye tobo ndio sizipendagi.
Mimi bhana macho madogo sipendi kabisa product zao mkuu, hasa hizi zilizotengenezwa kwaajili ya rau madukani.Hahahahahah kijana unazipiga kazakh hizi ndude ila ni unyama sana.
Bob sambeke tunaomba hiyo link mapema usisahau mkuu.
We unafikiri kwanini wahindi wamejaza aborder na Mr. UK kwenye maduka yao ambayo mwaka 2008 yalikuwa yana name brands tu. Kama Sony, Panasonic, LG, Samsung.Hahahahaaa.
Tukisema tusinunue vya bei kubwa na walengwa ni sisi zitabakia kama zilivyo.
Mkuu hizo hazina kodi sasa? Tusije tukaziacha Posta pale. Maana unanunua 30K kodi laki 2 balaa zito. Hebu tupeane mustakabali mzima hadi kuinjoy nayo magetoni! š
Hahaha ngoja nipokee kwanza mzigo wangu wa nura earpods kutoka australia mkuu ndo tutaongea.Hizo Airpods ni copy ya mwanzo. 𤣠Nakula unyama tu hapa,,, "whats the difference btn me and you" š¶šµ
Stereo sio about high and midsNatumia Selenium Player, ina powerful Equalizer. Napunguza highs mziki unabaki mzito tu.
Eh napenda thumping deep bass na highs ila zisizidi. Unakuta naminya mids kidogo then highs zinakuwa level. Hii inasaidia kusikiliza mziki mda mrefu bila kupata ear fatigue.Unamaanisha hupendi high bila shaka