Apple wanarudi walipotoka Android

Apple wanarudi walipotoka Android

Apple ni gereza la ufahari, mtumiaji wake ni mfungwa anayeringa kuishi kifahari. Ni lazima Apple arudi kufanana na android ili aendelee kubakia sokoni.
Kipi unachokifanya na Tecno yako wa Apple hawezi kukifanya?
 
mnafananisha apple na vitaka taka vyenu hivyo?
hata kama Rava4 inawatumiaji wengi huwezi ifananisha na kitu Tourage …….
 
Safi kabisa Mkuu, unajua tatizo kubwa humu Jamvini wengi wanaojifanya wanaiponda bidhaa za apple na IOS ni wale ambao hawajawahi kutumia bidhaa za apple au hawajui kutumia.
usiwe na mtazamo huu.

labda nikuulize huwa unaangalia reviews za hao jamaa kwenye hiyo video uliyowekewa,nakuongezea nyingine kamtizame mrwhotheboss,kama una bando.
hao ni watu wanaoupewa simu au wananunua kwa ajiri ya kuzilinganisha tu,yaani sio kuuzia sura na selfie kama sisi.

atakwambia kabisa apple katisha kwenye bettery,na video 2022,ila camera,design,ubora wa kioo kazingua.
 
mnafananisha apple na vitaka taka vyenu hivyo?
hata kama Rava4 inawatumiaji wengi huwezi ifananisha na kitu Tourage …….
usitaje aina ya gari taja kampuni nzima kama ambavyo hukutaja toyota ila rav4,huko toyota kuna LCv8 ambayo hiyo tourage ni toroli.

apple anatoa simu bora,pc,ipad nk ila si kwamba hakuna wanaume wengine.
 
usiwe na mtazamo huu.

labda nikuulize huwa unaangalia reviews za hao jamaa kwenye hiyo video uliyowekewa,nakuongezea nyingine kamtizame mrwhotheboss,kama una bando.
hao ni watu wanaoupewa simu au wananunua kwa ajiri ya kuzilinganisha tu,yaani sio kuuzia sura na selfie kama sisi.

atakwambia kabisa apple katisha kwenye bettery,na video 2022,ila camera,design,ubora wa kioo kazingua.
Ni mfuatiliaji sana Mkuu na pia natumia bidhaa zote hizo yaani android na IOS, unajua tatizo kubwa wengi wasilolijua ni kwamba IOS na Android haziwezi kufanana, hiyo moja! Pili ni kwamba Android ni simu nzuri sana kwa watu ambao ni watundu na simu na wanajua simu sababu inawapa opportunity ya kumanouver vitu mbalimbali lkn IOs haikutengenezwa kwa ajili hiyo, kama wewe ni mtu unaependa kuchezeachezea simu mara sijui kubadilisha Maandishi, au Rangi ya Screen au kudownload Third Party Apps za ajabuajabu basi IOs sio simu ya kununua haikufai na hutoipenda. IOs ni more secure compared to android hili halina ubishi.
 
Tupige kelele zote ila iOS wanamove slow but wanakuja na better implementation angalia focus mode fananisha na do not disturb
 
Ni mfuatiliaji sana Mkuu na pia natumia bidhaa zote hizo yaani android na IOS, unajua tatizo kubwa wengi wasilolijua ni kwamba IOS na Android haziwezi kufanana, hiyo moja! Pili ni kwamba Android ni simu nzuri sana kwa watu ambao ni watundu na simu na wanajua simu sababu inawapa opportunity ya kumanouver vitu mbalimbali lkn IOs haikutengenezwa kwa ajili hiyo, kama wewe ni mtu unaependa kuchezeachezea simu mara sijui kubadilisha Maandishi, au Rangi ya Screen au kudownload Third Party Apps za ajabuajabu basi IOs sio simu ya kununua haikufai na hutoipenda. IOs ni more secure compared to android hili halina ubishi.
si kwamba haikutengenezwa kwa ajiri hiyo sema wao apple hawaoni kama ni muhimu kukuwekea mteja huduma hizo.

kkutwa hapa ios 16 inakuja na option ya kubadiri font homescreen,miaka 10 baada ya android kuja na option hizo.

kitu kinakosa maana endapo tu apple watakipuuza ila wakikishupali basi kinakuwa cha maana.
 
si kwamba haikutengenezwa kwa ajiri hiyo sema wao apple hawaoni kama ni muhimu kukuwekea mteja huduma hizo.

kkutwa hapa ios 16 inakuja na option ya kubadiri font homescreen,miaka 10 baada ya android kuja na option hizo.

kitu kinakosa maana endapo tu apple watakipuuza ila wakikishupali basi kinakuwa cha maana.
Mashabiki wa apple wanafurahisha sana, hawakawii kusema apple anaboresha zaidi. Walikuwa wanaiponda always on display lakini baada ya hii IOS 16 tujiandae kuona inasifiwa kuwa ni bora kuliko ya android.
 
Tupige kelele zote ila iOS wanamove slow but wanakuja na better implementation angalia focus mode fananisha na do not disturb
na vinakuwa vya ajabu kwao wenyewe wateja wa apple,wateja wa android hawaoni kipya.

subiri underdisplay fingerprint itakuja hata 2025 halafu akwambie kaboresha ukiweka kidole tofauti hata simu haishtuki.
 
Hapo kwa tecno kuna kusikiliza fm radio bila kuchomeka headphones, ambapo hii feature itakuja Apple tukipata Rais wa kutoka upinzani😅😅😀
mara ya kwanza naishika ndroid yangu ya kwanza kutokea blackberry 2014 kwanza nikashangaa,hawa jamaa mbona kama mtu amepita road akawa anaangusha misimbazi makusudi,maana apps ni kibao halafu ni free.
kule mpaka toch ilikuwa una install halafu unapewa trial😂😂,siku mbili leta hela.

sasa apple wanafanya haya si kwa kupenda wanajua mambo yanawezapinduka within a year wakijishaua.
 
Ukitizama ulimwengu utajua hakuna kinachodumu milele duniani Kuna vitu vitakuja na kuondoka Walipotoka Apple sijui niseme kuzuri au lah [emoji3] ngoja niwaache kama walivyo ila wanapokuja ni kwenye ulimwengu wa Android.

Leo hii mtumiaji wa iphone anapata feature za Tecno [emoji16] relax kwanza teknolojia ni Yetu sote sio !!

Tunaweza sema ni Utani ila kiuwalisia Mfumo wa apple wanaoanza kuleta kwenye Simu mpya pamoja na iOS ni mifumo ya Android kabisa

Tunamuita father of customatization

Tunajua apple walijulikana sana kutokana na strong customatization limit kwenye vifaa vyao Hawampi uhuru mtumiaji kutumia anavyotaka.

Ila sasa the end become new Era [emoji4] unajua kwanini apple wanarudi Walipotoka Android
Translate
Kwenye iOS 14 waliweza kuleta built in app inayoweza kutafsiri lugha 11 kupitia mazungumzo wakati unaongea hivyo mtumiaji anaweza kutafsiri china , Germany , France ,korea nk wakati google walikua watu wa mwanzo kutumia hii mifumo kwenye simu zao kwa kuweza kutafsiri lugha nane wakati unaongea.

Widgets
Toleo jipya la iOS 16 apple kuanzia kwenye iphone na ipad kwenye home screen utaona Neno widgets. Kwani utaweza kupata taarifa kuhusu Hali ya hewa na mambo mengine mengi kabla ya hapo walikua watumiaji wa apple walikua wanaona app tu kwenye home screen.

Wakati widgets kwenye Android zilikuwepo Toka kuanzishwa kwake mwaka 2008 zikitoa taarifa nyingi mbalimbali kuhusu simu kupitia home screen.

App clips
Apple wameleta mfumo mpya wa kuweza ku preview app kabla uja download hivyo itakusaidia mtumiaji kabla ujalipia app unaweza kuangalia kwanza jinsi Ilivyo ikitokea umeipenda basi uta download.

Ila google wao walikua watu wa mwanzo kutuletea feature ya instant app Toka 2016 hii ni feature ambayo inamsaidia mtu kujaribu app kwenye simu kabla hajaamua kununua.

Picture in picture
Apple kwenye new pictures in picture feature wanampa uhuru mtumiaji kutizama video wakati unatumia app nyingine itamfanya mtumiaji kuhamisha video yake popote kwenye kioo chake kwa ku swipe.

Watumiaji wa Android tayari hii feature wanayo kwenye simu kwani wanaweza weka floating video au app yoyote ikiwa unataka kutumia app huku unatizama video.

Wind down mode
Hii ni feature mpya kwa watumiaji wa iOS 14 na 16 itakayoweza kumsaidia mtumiaji kuwa tayari kwa ajili ya kulala Yani utaweza ku set muda wako ambao utaki usumbufu wakati huko kwenye kikao, unataka kulala au unasoma kitu basi unaweka do not disturb mode.

Kama walivyo google mfumo huu wanaokitambo japo apple wameongezea unaweza weka shortcut for meditation or play music.

Ni kweli Apple watarudi walipotoka Android ?
Umesahau hata Android nao wanajitahidi kwenda Apple alikotoka, especially kwenye suala la security, zamani kuingiza custom android ilikuwa easy kama unanawa vile siku hizi uwe geeks kweli😂😂😂
 
Apple hawapendi kulipa patent fee so huwachukua mda kutengeneza cha kwao
Mfano dark mode imewezekana mwaka huu, pixel binning pia ila syo kwamba walifel kutengeneza 108mp kama cm zingne
 
Android sikuzote si tam kutumia, ni kama vile wako kwenye marobort
iphone 6 ni tam kutumia kulko ata s22 kwa smoothness
Japo tunanunua simu zaidi ya milion 1 na nusu ila simu pekee yenye hadhi ya bei hyo ni iphone pekee
Sitakaa nitumie iphone.....kwangu huo ni uchafu....au niseme gereza lenye sifa za kijinga! Hela nyingi halafu hakuna uhuru kabisa zaidi ya jina kubwa!
 
Back
Top Bottom