Apple yatajwa kuwa na thamani zaidi ya Google, Meta na Amazon kwa pamoja

Apple yatajwa kuwa na thamani zaidi ya Google, Meta na Amazon kwa pamoja

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Kampuni ya Apple, imeweka rekodi ya kuwa na thamani kubwa kuliko kampuni za Alphabet (Google), Meta na Amazon - ukizichanganya kwa pamoja.

Yaani ukichukua Market Cap ya Amazon, Meta na Alphabet kwa pamoja; bado haziifikii kampuni ya Apple.

Apple imefikisha thamani ya dola Trilioni 2.307 siku ya Jumatano; na kuweka historia kuwa ukichukua thamani ya Amazon, Meta na Alphabet zinafikisha thamani ya dola Trilioni 2.306 kwa pamoja.

Ukiambiwa ununue kampuni ya Apple peke yake; au ununue Kampuni za Alphabet, Amazon na Meta kwa pamoja wapi utaweka mpunga wako?

Credit: SwahiliTek
 
Mbona Wenye Amazon na Meta ni Matajiri kuliko wenye Apple??
 
Mbona Wenye Amazon na Meta ni Matajiri kuliko wenye Apple??
Inategemea kihasi Cha umiliki wa hisa inamaana Bezos kwa asilimia ya Hisa anazomiliki Amazon ingekuwa Google angekuwa na utajiri ×3 yake
 
2020 ilitajwa kuwa kampuni ya kwanza kufikisha thamani ya $2trillion.

yaaani nimejaribu kuibadili kwa pesa ya madafu ikaja hivi.

Tsh trillion 4600[emoji2099][emoji2099]
 
2020 ilitajwa kuwa kampuni ya kwanza kufikisha thamani ya $2trillion.

yaaani nimejaribu kuibadili kwa pesa ya madafu ikaja hivi.

Tsh trillion 4600[emoji2099][emoji2099]
Daaah acha tu mkuu
 
2020 ilitajwa kuwa kampuni ya kwanza kufikisha thamani ya $2trillion.

yaaani nimejaribu kuibadili kwa pesa ya madafu ikaja hivi.

Tsh trillion 4600[emoji2099][emoji2099]
Huo mpunga mrefu balaa
 
2020 ilitajwa kuwa kampuni ya kwanza kufikisha thamani ya $2trillion.

yaaani nimejaribu kuibadili kwa pesa ya madafu ikaja hivi.

Tsh trillion 4600[emoji2099][emoji2099]
Quadrilion 4.6.

Kidogo ilingane na GDP ya Africa nzima.
 
Back
Top Bottom