Application kwa waliochaguliwa fakat ambazo hawakuzichagua

Application kwa waliochaguliwa fakat ambazo hawakuzichagua

Ramso boy

New Member
Joined
Aug 22, 2012
Posts
3
Reaction score
1
jamani nisaidieni jins gan utaapply kama umechaguliwa fakat ambayo hukuichagua?
 
Mi nadhani kwenye sehem kama hiz hekima inaitajika sana,sema kama haujaelewa ueleweshwe bro king okay!ha2tangaziani ujanja af mbona we mwelewa inakuaje???????????
 
Mi nadhani kwenye sehem kama hiz hekima inaitajika sana,sema kama haujaelewa ueleweshwe bro king okay!ha2tangaziani ujanja af mbona we mwelewa inakuaje???????????

i've just sent ya a PM! Dats ol i knw hope it helps ya mate
 
jamani nisaidieni jins gan utaapply kama umechaguliwa fakat ambayo hukuichagua?
sasa hapo ni facult na sio fakat,jua kwamba utachagua degree program na sio facult...sasa mambo iko hivi nenda kwenye acount yako ya tcu fungua kwenye selected programs then utaona hiyo option!! fanya fasta mana nda hauruhusu..ukikwama tujulishe au wapigie tcu..ila kua mvumilivu maana humu JF unaweza kata hata tamaa ya kusoma...
nawasilisha...
 
Back
Top Bottom