Application Users Vs Browser Users

Application Users Vs Browser Users

Pamoja na yote sijawahi kosa appetite ya kula[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata nibanwe vipi.

Kuna clinic nilienda dkt akawa ananiambia itakuwa rangi zako za kucha hizo zinapelekea tatizo kuendelea nikamwambia hizi rangi nimepaka Jana tu, huna sipaki rangi,akasema itakuwa unakaa Kwenye vumbi, nikamwambia mazingira ninayoishi Ni masafi,akasema mashuka nikamwambia nabadilisha mara3 kwa wiki
Baadaye akanambia ooh usikate hizo nyama.. baadaye anasema Tena wanaoweza kukutibu kukukata Ni Benjamin dodoma,muhimbili na KCMC

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]kama ungekuwa unakosa appetite ningezidi kukuonea huruma sana.
Na vile unaonekana unapenda kula[emoji23][emoji23]

Yaani hizo ant allergies wanazokupa ni supportive management tu kwa lugha rahisi ni matibabu ya kukupunguzia maudhi unayokutana nayo.
Naona option uliyobakiza ni kukata.

Japo unatakiwa kukutana na daktar mara kwa mara upate kujua hali inaendaje na kama kuna ulazima wa surgery
 
[emoji23][emoji23][emoji23]kama ungekuwa unakosa appetite ningezidi kukuonea huruma sana.
Na vile unaonekana unapenda kula[emoji23][emoji23]

Yaani hizo ant allergies wanazokupa ni supportive management tu kwa lugha rahisi ni matibabu ya kukupunguzia maudhi unayokutana nayo.
Naona option uliyobakiza ni kukata.

Japo unatakiwa kukutana na daktar mara kwa mara upate kujua hali inaendaje na kama kuna ulazima wa surgery
Sasa huyu dkt angenambia tu yeye hakati.
Amenizungusha wee..

Dkt wa mwanzo nilimuelewa vizuri maana alisema ni ngumu kujua Nini kinasababisha na ni ngumu kuepuka maana ndio mazingira unayoishi kila siku.

Ila pamoja na yote, perfume siachi wallahi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Faida za browser
-Instant notifications
-Alerts pale juu
-Reactions nyingi zaidi
-Urahisi wa kuquote kipande tu cha post

Faida za app
-Dark mode
-Scrolling bila pagination

Natumia app. Scrolling ni muhimu sana kwangu.

Naamini technical team wanafanyia kazi scrolling kwenye browser na soon tutaletewa.
Wakishabadili huu mfumo wa kufungua pages kwenye browser watatisha sana....

Wazee wa Mei mosi tusaidieni kuhesabu faida nyingi na chache hapo 😂😂
 
Back
Top Bottom