Application Users Vs Browser Users

[emoji23][emoji23][emoji23]kama ungekuwa unakosa appetite ningezidi kukuonea huruma sana.
Na vile unaonekana unapenda kula[emoji23][emoji23]

Yaani hizo ant allergies wanazokupa ni supportive management tu kwa lugha rahisi ni matibabu ya kukupunguzia maudhi unayokutana nayo.
Naona option uliyobakiza ni kukata.

Japo unatakiwa kukutana na daktar mara kwa mara upate kujua hali inaendaje na kama kuna ulazima wa surgery
 
Sasa huyu dkt angenambia tu yeye hakati.
Amenizungusha wee..

Dkt wa mwanzo nilimuelewa vizuri maana alisema ni ngumu kujua Nini kinasababisha na ni ngumu kuepuka maana ndio mazingira unayoishi kila siku.

Ila pamoja na yote, perfume siachi wallahi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakishabadili huu mfumo wa kufungua pages kwenye browser watatisha sana....

Wazee wa Mei mosi tusaidieni kuhesabu faida nyingi na chache hapo πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…