Application Users Vs Browser Users

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Acha kabisa
VN tu sizioni Tena[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo simu yako kama kabati vile[emoji23][emoji23]

Ila usijali endelea kutafuta utaikuta sehemu imejificha,maana simu yako ni kubwa sana
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Nyie watu wa App bwana hamuenjoy ile sanaa ya ufunguaji wa pages
 
Oooohh Haya Haya Mkuu [emoji3][emoji3]
.
Navyojua Mimi kabla ya App ilikua hiyo Website so App imekuja as Simplest Method
Ni Kama Jiko la Mkaa na Gesi wote tutapika Lakin kwa njia tofauti [emoji3][emoji3]
 
Tatizo simu yako kama kabati vile[emoji23][emoji23]

Ila usijali endelea kutafuta utaikuta sehemu imejificha,maana simi yako ni kubwa sana
Kubwa Sana yaani
Ilivyokuwa na maajabu sasa ntashangaa zimerudi naziona[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Au ndo maana kweli nahangaika kutafuta thread kwenye browser maana infinix hizi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Mbona ipo kama hivyo, kama kuna mtu huwezi kumuangalia jua ni yeye kazuia watu wasimpekue hata kwenye app hutoweza kumcheki.
Kusubscribe tread huku kinaitwa watch thread, ukiwatch utakuwa unapata notification
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Basi wewe shida yako ni simu na sio browser
 
Oooohh Haya Haya Mkuu [emoji3][emoji3]
.
Navyojua Mimi kabla ya App ilikua hiyo Website so App imekuja as Simplest Method
Ni Kama Jiko la Mkaa na Gesi wote tutapika Lakin kwa njia tofauti [emoji3][emoji3]
Basi web ndio jiko la gesi na app ni jiko la mkaa, nimeona malalamiko ya app ndio mengi kuliko ya browser
 
Mtuache [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Carba pamoja na kuwa timu s bado anatumia App..
Mimi Ni Nani hata nisitumie App?

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mimi hiyo browser naona jau sana kuitumia.
Huwa naitumia kwa nyakati maalum na nikimaliza huwa nameza panado maana kichwa huwa kinauma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…