Application Users Vs Browser Users

Application Users Vs Browser Users

Browser ni nzuri sana kwangu na sijawah kwazika kwa lolote lile. Kila notification napata mana kwenye site setting kuna kipind niliruhusu hivyo sikua napitwa na chcht kile. Ila niliondoa mana notifications zinajipanga nying sana kweny screen, nikaamua niwe natumia notification ya kwenye browser moja kwa moja yan ile iliyo kama kengele kwa juu kbs..

Hawa wa app wanapendelea ile scrolling jins ilivyo mana inakua nyepes wakati huku kwenye browser tunaenda kwa pages...ila hiki siyo kikwazo..

Kinachokera kwenye browser ni ban mana wanafunga kila kitu mpk utumie utundu mwngn ndy utaeza ku-access
Nasikia hii watu wa App wao hawana mambo ya kufunua pages wao wanasogeza tu Nyoka moja kwa moja
 
EFAA379A-CF6C-4138-928F-58478492B95D.jpeg

Kwenye app hamna hayo mambo
 
Back
Top Bottom