Dah! Kwahiyo alkuwa ananipimaAlikuta natengeneza mazingira kwa mpendwa ili awe mrithi wake weeeh! aliwaka huyo akasema alikuwa anakutania kupima imani yako 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah! Kwahiyo alkuwa ananipimaAlikuta natengeneza mazingira kwa mpendwa ili awe mrithi wake weeeh! aliwaka huyo akasema alikuwa anakutania kupima imani yako 😂
Dah![emoji134][emoji134]Hahah! Wazee wa kusubiri Pension wengi wao wamekuwa na haya malalamiko ya kutopata Notifications, karibu kwenye browser hayo majanga utayasikia tu kwa wengine
Dah!Alikuta natengeneza mazingira kwa mpendwa ili awe mrithi wake weeeh! aliwaka huyo akasema alikuwa anakutania kupima imani yako [emoji23]
Hilo halina mjadala alafu JF ya free basics iko poa sana.sijui kwa sababu ya bure.Nikiwa na bando natumia APP bt nikifulia natumia browser tena naenda kule kwenye mtelezo na FREEBASICS
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimeshtuka nilivyokuona ujue nilisahau kama na wewe toto unatumia App
Ndiyo nayotumia piaYes Yes!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mambo yapo kasi sana wewe acha tu
Leo vipi?Inategemea siku nimeamka na upepo gani wa browser or App.
[emoji23][emoji23][emoji23]Jamani [emoji23]
😂😂😂Nikiwa na bando natumia APP bt nikifulia natumia browser tena naenda kule kwenye mtelezo na FREEBASICS
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]Kasoro wewe kijana uliezamia meli ya wazee
#amsorryliverowner
NdioNasikia hii watu wa App wao hawana mambo ya kufunua pages wao wanasogeza tu Nyoka moja kwa moja