Application Users Vs Browser Users

Application Users Vs Browser Users

Aisee app ni nzuri sana kwangu. Notification ndio haziji kama zamani ila nikifungua sehemu ya notification naona ingawa zinakuja quotes tu kama nimemensheniwa sipati [emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi nadhani wepesi au ugumu unategemea wakati unajiunga ulianza na nini
 
Back
Top Bottom