Application Users Vs Browser Users

Application Users Vs Browser Users

App ni ya kiduanzi kweli yaani, kwangu haifunguki wala nn, natumia browsers flank hivi ipo kama computer, naweza kudownload huku naperuzi internet huku naanalia video YouTube
 
Aisee app ni nzuri sana kwangu. Notification ndio haziji kama zamani ila nikifungua sehemu ya notification naona ingawa zinakuja quotes tu kama nimemensheniwa sipati [emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi nadhani wepesi au ugumu unategemea wakati unajiunga ulianza na nini
Yah! Naona mazoea huwa yanatawala zaidi hapa maana unakuta mtu analalamika hapati notifications miezi miwili ila bado yupo tu na App yake 😀
 
Yah! Naona mazoea huwa yanatawala zaidi hapa maana unakuta mtu analalamika hapati notifications miezi miwili ila bado yupo tu na App yake [emoji3]
Mimi nina mwaka sasa sipati notification ila ndio siachi app. Browser inanitia uvivu sana....nakumbuka nilipojiunga Jf sikuwa hata naingia mara nyingi, sikumoja nimeingia play store mara paap nikaona app ya Jf, nilifurahi sana na ndio hapo nikaanza kuwa active
 
Changamoto kubwa kwenye Application ni kuchelewa kwa notification unakuta nmemtukana mtu lakini sioni kajibu nini ili tugombane vuzuri .

Alafu ni kweli tunaotumia app wengi age imesonga kidogo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kw mujibu wa max app itakuwa poa sana 1may watakapoachia update kwa sasa tutumie browser
 
Mimi app pekee ambayo ninaweza kutumia ni whatsapp na instagram tu, jamiiforums, facebook, twitter natumia browser. App huwa naona zinaniyeyusha.
 
Mimi nina mwaka sasa sipati notification ila ndio siachi app. Browser inanitia uvivu sana....nakumbuka nilipojiunga Jf sikuwa hata naingia mara nyingi, sikumoja nimeingia play store mara paap nikaona app ya Jf, nilifurahi sana na ndio hapo nikaanza kuwa active
Ndio maana mara nyingi tukikutag unakuwa huna habari kumbe umekomaa na App yako, shauri yako mambo mazuri yanakupita 😀
 
Tunaingia humu JF kwa kutumia hizo njia mbili embu tuambie wewe unatumia ipi kati ya hizo?

Muambie mtu ambae hatumii njia yako vitu ambavyo vinakukera na vinavyo kuvutia zaidi katika njia yako...

Kuna sehemu niliona mtumiaji wa Browser akimuambia mtumiaji wa App kwamba App wanatumia wazee 😀...

COVID 19 ipo tujikinge kwa kufuata ushauri tunaopewa na wataalamu
Mimi natumia "Browser" sababu wake zangu hawapendi kabisa niwe katika hii mitandao ya kijamii zaidi ya "WhatsApp".

Ahsante.
 
Mimi nina mwaka sasa sipati notification ila ndio siachi app. Browser inanitia uvivu sana....nakumbuka nilipojiunga Jf sikuwa hata naingia mara nyingi, sikumoja nimeingia play store mara paap nikaona app ya Jf, nilifurahi sana na ndio hapo nikaanza kuwa active
Sweeettie
 
Back
Top Bottom