Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Hahaha muongo wewe notification huwa naangalia kwenye browser ila nikichati hivi nachat kwenye app. Yaani naangalia notification kwenye browser, nakariri ni post namba ngapi kisha nakuja kujibia kwenye appNdio maana mara nyingi tukikutag unakuwa huna habari kumbe umekomaa na App yako, shauri yako mambo mazuri yanakupita [emoji3]