Inaonekana unapenda sana kuchambana..Mkuu,hamia kwenye browser
Huku ukitukana mtu akikujibu unaona pale pale.....raha ya ugomvi uwe active kwenye kujibu mapigo
[emoji1] [emoji1] [emoji1]tabu ya browser ni pale unapopigwa ban hata kuingia kama guest haiwezekani dadeki
Sent using Jamii Forums mobile app
Ile inakera..hata kapicha tu hadi ifunguke ni kero tupu..Sisi wa free data nadhani tupo kwenye Browser Users.sisi changamoto zetu video hazi play,wala huwezi kufungua link kabisa mpaka ujiunge.πππ
Nasikia hii watu wa App wao hawana mambo ya kufunua pages wao wanasogeza tu Nyoka moja kwa mojaBrowser ni nzuri sana kwangu na sijawah kwazika kwa lolote lile. Kila notification napata mana kwenye site setting kuna kipind niliruhusu hivyo sikua napitwa na chcht kile. Ila niliondoa mana notifications zinajipanga nying sana kweny screen, nikaamua niwe natumia notification ya kwenye browser moja kwa moja yan ile iliyo kama kengele kwa juu kbs..
Hawa wa app wanapendelea ile scrolling jins ilivyo mana inakua nyepes wakati huku kwenye browser tunaenda kwa pages...ila hiki siyo kikwazo..
Kinachokera kwenye browser ni ban mana wanafunga kila kitu mpk utumie utundu mwngn ndy utaeza ku-access
Huo ndy utofauti tuuu kwenye scrolling mengine yore tunafanana sema notifications bado kwao ni mtihaniNasikia hii watu wa App wao hawana mambo ya kufunua pages wao wanasogeza tu Nyoka moja kwa moja
Alafu unashindwa hata kusonya kwa sababu ni bure,hizi bure hizi.ila tuna washukuru.Ile inakera..hata kapicha tu hadi ifunguke ni kero tupu..
Mambo ya bure ni kero..ndy mana mimi inanibd ninunue tu bando mana kuna raha yakeAlafu unashindwa hata kusonya kwa sababu ni bure,hizi bure hizi.ila tuna washukuru.
Hii ndio unaniambia leo nilikuwa sijui kabisatabu ya browser ni pale unapopigwa ban hata kuingia kama guest haiwezekani dadeki
Sent using Jamii Forums mobile app
Ipo hiyo kitu, we kula ban uone!Hii ndio unaniambia leo nilikuwa sijui kabisa
Ama inaenda kama like πππππ
Au akikufurahisha una π€£ tu haina haja ya kumquote, ila kama wenyewe hawana hizi options sasa tukudislike post zao kule kwao wanaambiwa umefanya nini au inageuka like?
Kweli mkuu,yaani kama nikiona bando langu ni dogo basi na funga takataka zote nabaki na JF tu.napata burudani mwanzo mwisho.Mambo ya bure ni kero..ndy mana mimi inanibd ninunue tu bando mana kuna raha yake
Kuchambana ndio nini?Inaonekana unapenda sana kuchambana..
Yani kusafishana kwa kutumia maandishi.Kuchambana ndio nini?
Basi mie sipendi kuchambana kama ndio hivyoYani kusafishana kwa kutumia maandishi.
πππππππππIla uwezi kumjua muhusika mwenyewe kiuhalisia. ila kwenye app ni lahisi sana.maana una mjua kumbe huyu ndo huyu kamaanisha mtu akishika simu yake.View attachment 1425097
Kwenye app hamna hayo mambo