carbamazepine
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 46,562
- 285,591
Yaani yeye ni kule home ametoka sana siasanAah! Kweli Ostaz sijawahi kumuona sehemu nyingine tofauti na kule home
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani yeye ni kule home ametoka sana siasanAah! Kweli Ostaz sijawahi kumuona sehemu nyingine tofauti na kule home
Unawazungumziaje wale jamaa wawili?Nitakuwa kama director tu [emoji3]
Ahsante sana mkuu kwa haya maelezo umemaliza1.app haina uwezo wa ku save thread ili kuweza kusoma offline ila browser inayo .pia haina uwezo wa ku access notifications zote kwa pamoja ,inaonesha notifications chache tu.
2.Browser imeondoa limitations hizo apo juu na kuongeza za kwake ambazo ni inachelewa kuleta notifications na pia inakuhitaji ku refresh page ili kuweza kufanya real time update ya kinachoendelea kwenye uzi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa upande wangu napenda Browser zaidi ya application.
Sababu ni kuwa kila kitu kimepangwa na utaratibu wake na tena sio lazima mtu atoke kwa uzi ndiyo akasome notifications akiwa kwa browser.
Pale juu unapata vitu zote kuanzia notifications, messages, profile, search button na menu kuu ya JF zote ziko pale juu kwa corner.
Emoji23 huku tunaipata ikiwa plain text ndani ya saduku.. Example [ emoji23 ][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hujaiona hiyo?
Mwenyewe nilibaki nashangaa
Wakina Stella wanasema wameahidiwa mwezi wa tano mambo yatakaa sawaJuzi tu hapa nilikia namwambia stella aachekushangilia kirudi kwa notifications maana hilo gonjwa ni sugu kwenye app.
Sijui kwanini wanashindwa kurekebisha hii kitu
Expectations zako zisiwe juu sana na hiyo update ya mei mosi.Mimi hadi nimezoea kukaa bila notification..
Ila Ngoja tusubiri May mosi[emoji3526]
Sent using Jamii Forums mobile app
Upande wangu hainichokeshi mimiHivi kule kufungua pages hakuwachoshi??
Mie pia natumia browser japo app inamwonekano muruwa ila changamoto ndio kama hiyo uliyoitanabaisha.Changamoto kubwa kwenye Application ni kuchelewa kwa notification unakuta nmemtukana mtu lakini sioni kajibu nini ili tugombane vuzuri .
Alafu ni kweli tunaotumia app wengi age imesonga kidogo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Emoji23 huku tunaipata ikiwa plain text ndani ya saduku.. Example [ emoji23 ]
Sawa mkuu, browser ndio kila kitu ✌Kwa upande wangu napenda Browser zaidi ya application.
Sababu ni kuwa kila kitu kimepangwa na utaratibu wake na tena sio lazima mtu atoke kwa uzi ndiyo akasome notifications akiwa kwa browser.
Pale juu unapata vitu zote kuanzia notifications, messages, profile, search button na menu kuu ya JF zote ziko pale juu kwa corner.
Ngoja tuone maana mei mosi si mbali.Wakina Stella wanasema wameahidiwa mwezi wa tano mambo yatakaa sawa
Wakina Stella wanasema wameahidiwa mwezi wa tano mambo yatakaa sawa
Mimi ninavyoisubiri kwa hamu[emoji847]Expectations zako zisiwe juu sana na hiyo update ya mei mosi.
😀😀 kwa browser tunapata jina emoji23 kwa sadukuSasa hizi habari za emoji na namba ndo nini?
Browser inazingua
😂😂😂😂 wale jamaa mimi ni shabiki wao kabisaUnawazungumziaje wale jamaa wawili?
Ujue wale wamekuacha mbali Sana [emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui aloveshwa pete[emoji23][emoji23]Hahah! Usiku wa pete bado sijauotea kabisa [emoji23][emoji23]