Application Users Vs Browser Users

Application Users Vs Browser Users

1.app haina uwezo wa ku save thread ili kuweza kusoma offline ila browser inayo .pia haina uwezo wa ku access notifications zote kwa pamoja ,inaonesha notifications chache tu.
2.Browser imeondoa limitations hizo apo juu na kuongeza za kwake ambazo ni inachelewa kuleta notifications na pia inakuhitaji ku refresh page ili kuweza kufanya real time update ya kinachoendelea kwenye uzi.


Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante sana mkuu kwa haya maelezo umemaliza
 
Hivi kule kufungua pages hakuwachoshi??
Kwa upande wangu napenda Browser zaidi ya application.

Sababu ni kuwa kila kitu kimepangwa na utaratibu wake na tena sio lazima mtu atoke kwa uzi ndiyo akasome notifications akiwa kwa browser.

Pale juu unapata vitu zote kuanzia notifications, messages, profile, search button na menu kuu ya JF zote ziko pale juu kwa corner.
 
Kwa kweli
Changamoto kubwa kwenye Application ni kuchelewa kwa notification unakuta nmemtukana mtu lakini sioni kajibu nini ili tugombane vuzuri .

Alafu ni kweli tunaotumia app wengi age imesonga kidogo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mie pia natumia browser japo app inamwonekano muruwa ila changamoto ndio kama hiyo uliyoitanabaisha.
 
Kwa upande wangu napenda Browser zaidi ya application.

Sababu ni kuwa kila kitu kimepangwa na utaratibu wake na tena sio lazima mtu atoke kwa uzi ndiyo akasome notifications akiwa kwa browser.

Pale juu unapata vitu zote kuanzia notifications, messages, profile, search button na menu kuu ya JF zote ziko pale juu kwa corner.
Sawa mkuu, browser ndio kila kitu ✌
 
Back
Top Bottom