Am the One
JF-Expert Member
- Nov 1, 2018
- 903
- 892
Apps lakini changamoto ni notification haziji kabisa kwa ss ni muda mrefu sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna changamoto yoyote kwa anayetumia browser
Notifications on time,inaeleweka,unaweza kuedit ulichoandika(sina uhakika kama APP unaweza kuedit siku hizi),namna ya kutag kwa browser haiko complicated,bold,italic na mazaga zaga mengine yapo huku kwenye browser na ni rahisi mno kuyaapply
Browser haiachi ushahidi wa kwamba unatumia JF(mtu akishika simu yangu hawezi kujua kama hata naijua JF) kwasababu sina APP ya JF
[emoji3526]Jamani[emoji134][emoji134]
Usijali notakua nakuja hapa kukusalimia maana huko duniani nakuogopa
Muulize vile kama bado anatuchanganya maana mimi siwezi kushare [emoji23][emoji23]
Hilo kundi bila wewe kuwepo Ni ubatili tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] embu nitolee balaa sasa hivi, nitoe mimi jiweke wewe hapo lazima kipindi kitafafiliwa hadi na Trump
Yaani nakumbuka vile niloshangilia kusikia jimbo halina mjumbe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] babe hadi wewee?🙄
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] embu nitolee balaa sasa hivi, nitoe mimi jiweke wewe hapo lazima kipindi kitafafiliwa hadi na Trump
Wenyewe wanasema mwezi wa tano wataboresha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti usiku wa pete, siku hizi usiku zimekuwa nyingi mno jamani
Kwa upande wangu napenda Browser zaidi ya application.Tunaingia humu JF kwa kutumia hizo njia mbili embu tuambie wewe unatumia ipi kati ya hizo?
Muambie mtu ambae hatumii njia yako vitu ambavyo vinakukera na vinavyo kuvutia zaidi katika njia yako...
Kuna sehemu niliona mtumiaji wa Browser akimuambia mtumiaji wa App kwamba App wanatumia wazee 😀...
COVID 19 ipo tujikinge kwa kufuata ushauri tunaopewa na wataalamu
Fanya hivyo bhana si unajua mambo yashakua mengi mtaani hukuBado nilikuwa nakomaa tu kitaa ila itabidi nifanye namna
Dah! Ahsante Carba
Mimi hadi nimezoea kukaa bila notification..Juzi tu hapa nilikia namwambia stella aachekushangilia kirudi kwa notifications maana hilo gonjwa ni sugu kwenye app.
Sijui kwanini wanashindwa kurekebisha hii kitu
Nitakuwa kama director tu 😀Hilo kundi bila wewe kuwepo Ni ubatili tu
Ni Kama Tmk wanaume family bila chegge
Sent using Jamii Forums mobile app