Nashangaa sana yani mmHili tatizo kama limekuwa sugu sasa
Kila siku linalalamikiwa sijui wameshindwa kulitatua
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mambo niaje?
Chizi mwenyewe
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hautakuwa pekeyako
Fresh sana, naona leo ulikua busy[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Safi mzima?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila siku za wikiFresh sana, naona leo ulikua busy
SawaHahah! Halafu kuna mishe yangu ikienda sawa nitahitaji sana msaada wako
Dah![emoji134][emoji134]Mchezo utakuwa hivi [emoji117] Unafunua unaweka kitu unafunika
Unachanganyikiwa na nini?Aah ah! Mbona kama unanichanganya sasa?
Mie toka jana inazingua naona wewe imekubali mda huu.
Hata Mimi naipendaApp toka jana imeniangusha. Nimerudi Tapatalk.
Hey mimi team app aisee ile night mood ndo ugonjwa wangu
Sent from my KSA-LX9 using Tapatalk
Tangu mchana inagomaMie toka jana inazingua naona wewe imekubali mda huu.
Sent from my KSA-LX9 using Tapatalk
Waturekebishie,Hii app Sasa n kama maxmello
Amechoka nayo yani inasumbua
Co kawaida ikiamua inafunguka
Ikiamua unaona unaambiwa tu
(Oops) na matatzo mengine yani
N kero na hii app kwa cc wa Android
Kwakwel
stidy