Tansy
JF-Expert Member
- Apr 19, 2018
- 3,946
- 8,949
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] tunaumia cc
Pole sana[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
Sina hata la kusema
I'm on that good kush and alcohol
Asante [emoji38], of course Natumiag kama alternative tuu. Browser sijaizoea kwa kweli, Na We siunatumia app WewePole sana
Hamia browser
Mimi ni team app sema tangu jana inanizingua nimehamia kwenye browser ila inanichoshaAsante [emoji38], of course Natumiag kama alternative tuu. Browser sijaizoea kwa kweli, Na We siunatumia app Wewe
I'm on that good kush and alcohol
Daah Sijui wanakwama wapi AiseeMimi ni team app sema tangu jana inanizingua nimehamia kwenye browser ila inanichosha
Nimeona mzee baba anasema may 15 app inaweza kueleweka.Daah Sijui wanakwama wapi Aisee
Na Maumivu ya Wana Team App yanakua kila kikucha na Nadhani ndio wengi kuliko Browsers..Wajitahidi aisee wat watawasusia JF yao [emoji3][emoji3]
Yeah inachosha dah[emoji38]
I'm on that good kush and alcohol
Kupigwa Calendar kushaanza [emoji23][emoji38]Nimeona mzee baba anasema may 15 app inaweza kueleweka.
Ngoja tuone
Ngoja tuone tar 15 ikifika atakuja na hoja gani.Kupigwa Calendar kushaanza [emoji23][emoji38]
Jina lako carbamazepine niliona kwnye dawa frani ya ngozi, Hivi ni kweli Au macho yang tu, Mana utakua unajua zaidi kuhsu jina ako
I'm on that good kush and alcohol
Mmmhh Sasa niliona wapi [emoji848][emoji848]Ngoja tuone tar 15 ikifika atakuja na hoja gani.
Itakuwa ni macho yako yalikudanganya.
Carbamazepine ni dawa ya epilepsy(kifafa)
Kwamba unamtisha max na mtandao wake🙌🙌Zaidi ya hapo Atakua anairudish nyuma taasisi yake. Me naweza nikaiaga jamii forum yenyewe [emoji3][emoji3][emoji3]
Vodacom ilizingua mtandao Siku moja tuu na wapo wat wakaihama. Hili Asilidharau Sana Ohooo though JF ina Uniqueness
Mmmhh Sasa niliona wapi [emoji848][emoji848]
Maana dawa za kifafa na Mimi wap na wapi [emoji23][emoji23]
You just like the Name or Kuna kauhusianao na Wewe
I'm on that good kush and alcohol
PoleLeo ilikuwa Busy day kwangu..am exhausted..
Ila tambua "Nimekumiss" kuliko hata hilo neno lenyewe linavyomaanisha
The only thing to fear is fear itself
Asante ndio nasinzia hapa..Pole
Uende kulala sasa.
[emoji38][emoji38][emoji38]Wala mtumzima kama Melo hatishiwi Nyau, lakini nyau anadhuru vile vile. Sio mdori uleKwamba unamtisha max na mtandao wake[emoji119][emoji119]
Nilipenda tu jina,halina uhusiano wowote na mimi