Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu ndo shida ya kuzoea kitu .
#mjininitarudituBasi hapo kwenye # ndio nimekuelewa zaidi
#fanyaurudimjinibwana
#hukoporinimuachekwin
Mimi tangu jana nilikuwa nalalamika nikaona nihamie kwa mdaka chozi wangu browser.
Night mode imekaa poa sanaApp toka jana imeniangusha. Nimerudi Tapatalk.
Hey mimi team app aisee ile night mood ndo ugonjwa wangu
Sent from my KSA-LX9 using Tapatalk
Mimi jana haikunizinguaMimi tangu jana nilikuwa nalalamika nikaona nihamie kwa mdaka chozi wangu browser.
App sasa hivi ishakuwa shidaHii app Sasa n kama maxmello
Amechoka nayo yani inasumbua
Co kawaida ikiamua inafunguka
Ikiamua unaona unaambiwa tu
(Oops) na matatzo mengine yani
N kero na hii app kwa cc wa Android
Kwakwel
stidy
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Waturekebishie,
Hii App imekuwa kero Sasa,
Halafu tuliambiwa kutakuwa na mabadiliko kuanzia Mei mosi lakini sioni chochote.
Maxence Melo
Sent using Jamii Forums mobile app
Inakera yaaniApp sasa hivi ishakuwa shida
Aaggrrr[emoji34][emoji34]
Aje boss mwenyewe atujibu..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani ahadi ya mei mosi imeishia wapi??
Au ndo haya matekebisho tuliyoahidiwa??
Karibu kwa mdaka choz browser ila jiandae na kufunua pageInakera yaani
Halafu walisema Mei mosi Mei mosi
Mimi sioni chochote hapa Zaidi ya hili App kugoma goma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaan huko abui anacheka hadi kalala chini[emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi huko siweziKaribu kwa mdaka choz browser ila jiandae na kufunua page
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yaan huko abui anacheka hadi kalala chini[emoji23][emoji23][emoji23]
Huu n mkebe tu kwa SasaApp sasa hivi ishakuwa shida
Aaggrrr[emoji34][emoji34]
Yani n kama wanatupga danadanaWaturekebishie,
Hii App imekuwa kero Sasa,
Halafu tuliambiwa kutakuwa na mabadiliko kuanzia Mei mosi lakini sioni chochote.
Maxence Melo
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yani n kama wanatupga danadana
Kama zile million 50 kwa kila kijiji
stidy