Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapo mpendwa
#vikobasiganimtani?Kabla ya kujua kama nakutetea au la, inabidi tutambulishane kwanza.
#kwaniVileVikobasiNiVyaNani?
Nani iko teka wewe kipenzi?Upi tena kaka yangu kipenzi..?
#mbonakamaNahujumiwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...
Nitaambia watu wanishukuru maana harakati zangu ndio zimesaidia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haya maneno mawili "pole" na "hongera" jibu lao huwa ni moja tu [emoji16]
Asante
Hahah alafu huu uzi mbona upo chit chat[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwamba unajifanya zile nyuzi za malalamiko kule jukwaa la malalamiko hujaziona?
Siku moderators wataunganisha kweye ule wa likes[emoji23][emoji23][emoji23]anajifanya hajui hilo
Davet
😂😂😂😂😂 umeanzaaa hivyooYaani kwin na kauli zako tata bhana sikuwezi...
#missedyoumuch
Babe,we acha tu...Kd amenitelekeza huku porini, ameweka mgomo kunifata😕Nani iko teka wewe kipenzi?
Mekumiss mimi[emoji847][emoji847]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndio! Wewe unataka kunijaza hapa niropoke kumbe mwenzangu una panproof [emoji16]
Mtoto wa Melo, mambo😀[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huku wa Kwanza kulimwa ban ntakuwa Mimi
Sent using