Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Ni vile tunalea watoto kwa uzungu mwingi ila mtoto sio vizur kushika simu.
Simu yangu haishikwi na mtu yeyote zaidi yangu, mtoto haruhusiwa hata kuigusa labda nimtume ailete, nikiwa karibu yake haruhusiwi kutupia jicho kwenye simu yang, ole wake aonekane ananyenyemea kuichungulia ataipatapata fresh.
Tv ni kwa ratiba maalum sio kila akijiskia yeye, ataangalia jioni akimaliza vikazi na homework muda huo anasubiri chakula.
Akishakula basi hiyo ni ticket ya kwenda kulala.
Simu yangu haishikwi na mtu yeyote zaidi yangu, mtoto haruhusiwa hata kuigusa labda nimtume ailete, nikiwa karibu yake haruhusiwi kutupia jicho kwenye simu yang, ole wake aonekane ananyenyemea kuichungulia ataipatapata fresh.
Tv ni kwa ratiba maalum sio kila akijiskia yeye, ataangalia jioni akimaliza vikazi na homework muda huo anasubiri chakula.
Akishakula basi hiyo ni ticket ya kwenda kulala.