Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Haswa. Ili kuepusha lawama ni bora mtoto akae mbali kabisa na simu. Lakini ikifika umri fulani inabidi umfundishe namna ya kutumia tena kwa ratiba kali sana na ujue anapopita mtandaoni kwasababu simu ni kama kompyuta, inatumika kwenye maisha ya kila siku.Ni vile tunalea watoto kwa uzungu mwingi ila mtoto sio vizur kushika simu.
Simu yangu haishikwi na mtu yeyote zaidi yangu, mtoto haruhusiwa hata kuigusa labda nimtume ailete, nikiwa karibu yake haruhusiwi kutupia jicho kwenye simu yang, ole wake aonekane ananyenyemea kuichungulia ataipatapata fresh.
Tv ni kwa ratiba maalum sio kila akijiskia yeye, ataangalia jioni akimaliza vikazi na homework muda huo anasubiri chakula.
Akishakula basi hiyo ni ticket ya kwenda kulala.
Natumai umeamua kuchangamsha jamvi.Nawashangaa sana mnaowabania watoto simu nawashangaa sanaaaa
Ni vizuri ameweza kufanya hivyo. Je anatumia muda gani kwenye simu?Mtoto wangu ajaweza ongea kwa ufasaha ana umri miaka 3.5,lakini anajua kutaja 0ne hadi ten, anajua ABC hadi Z anajua kutaja colour 10 kwa msaada wa katuni za kufundishia.
Kupitia game ya simu anajua kuendesha gari kuingiza gia, kata kona, rivasi, forward, nk.
Unaweza kuelezea zaidi?Haijalishi ni wakati gani ila sio sahihi
Haizidi SaaNi vizuri ameweza kufanya hivyo. Je anatumia muda gani kwenye simu?
Ahaa si mbaya. Na kucheza anacheza na shughuli nyingine za kitoto?Haizidi Saa
Na hii ndio shida kuu. Hivi vitu havina mpangilio utakaofanya ubongo wa mtoto kupata mambo tofauti. Ndio maana wazazi inabidi wawe makini sana kuhakikisha matumizi ya haya mambo hayazidi.Simu , tv si nzuri kwa watoto kwa sababu hazina program mtiririko. Tv ni Mwalimu asiye na syllabus. Yaani ufundisha mtoto chochote tu bila mpangilio
Naona lengo lako kubwa ilikuwa hapo chini.Si vizuri mtoto atumie simu hasa kuingia mtandaoni. Wazazi wanakosea sana wanavyowaachia watoto wakae na simu muda mrefu huku wakicheza magemu, wakiangalia katuni, wakipita mtandaoni nk. Wataalamu wamekusanya taarifa za awali zinazodai kuwa watoto wanaotumia simu muda mrefu wanakosa umakini shuleni na kuathiri nidhamu maisha yao yote.
Sio kwamba mtoto asitumie simu kabisa ila awe na ratiba. Tulivyokuwa wadogo hatukunyimwa kuangalia katuni lakini kulikuwa na ratiba maalumu, ikifika muda fulani ndio katuni zinaanza na mpaka uangalie lazima uwe umemaliza kazi mbalimbali. Ili kumjengea mtoto msingi mzuri wa matumizi ya simu ni lazima umpe ratiba kuwa wakati fulani baada ya kufanya hiki au kile ataweza kutumia simu. Matumizi ya simu hayafai kwa mtoto chini ya miaka mitatu na yasizidi masaa 2 kwa siku, huku nusu saa tu inatosha. Na sio umuachie tu mtoto aingie mtandaoni bila uangalizi wa karibu, lazima uhakikishe mtoto anakopita ni salama. Maudhi mengi ya mtandaoni hata wanayodai ni ya watoto hayafai kabisa.
Kwa kuliona hili, nawapendekezea app itakayomfundisha mtoto, kumburudisha na kumfikirisha. Mzazi/mlezi/ndugu akisoma na mtoto katuni kwa nusu saa kila siku za Kiswahili zinazosaidia kufundisha Kiingereza atakuwa ametoka na kitu. Baada ya muda utashangaa mtoto anaweza kusoma mwenyewe bila wewe kumsomea. Inafaa zaidi kwa watoto wa miaka mitatu na kuendelea ambao hawajaanza/wameanza chekechea/darasa la kwanza. App hii inaitwa Tuni na inapatikana Google Play Store hapa . Ni rahisi kutumia na maelekezo yanapatikana hapa .
Kumkazia mtoto simu ni sawa na basata wanafungia nyimbo za wabongo wanaokaa nusu uchi halafu wanaachia video za nje zenye kufuru zaidi hapo work done =0Natumai umeamua kuchangamsha jamvi.
Mhmm mbona naona kama mfano uliotoa hauendani na hii mada?Kumkazia mtoto simu ni sawa na basata wanafungia nyimbo za wabongo wanaokaa nusu uchi halafu wanaachia video za nje zenye kufuru zaidi hapo work done =0