airmax
JF-Expert Member
- Oct 14, 2022
- 870
- 965
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo dhambi wanazijua wao tu .sasa wanataka kutufundisha.tunashukuru umewashtukia.mtu anataja hadi maeneo.alafu anakwambia yeye sio muhusikaSio unafiki kama sio mambo yako umejuaje hizo mitandao? Au umetumwa kupromote ?
Upwiru mtu kujitakiaMila za mababu zirud
KivipWatu wanajipa magonjwa bila kupenda
Uwezo wa kuzifunga au kuwakamata watumiaji upo.. ingawa ni maswala ya kiutaalam zaidi. Tataz hawatak ku outsource kwa watu private. Au waweke bounty hunting hapo waone show.Waupate wapi uwezo huo?
Mifumo ya TRA na TPA (bandari) wamesema haisomani, wamekiri imewashinda, Rais kakubali.
IT Systems za kwao wenyewe, za hapa hapa Bongo, wametangaza zimewashinda.
Sembuse ma IT Systems na ma software programs na ma VPN yako kwenye server za Ulaya huko, uzifungie, wewe m-bongo, kichwa fyongo, unaanzia wapi?
Utafunguia vingapi? Unalazimishwa mkuu kuiweka hiyo APP kwenye simu yako?Zipo Apps mitandaoni zinahamasisha ushoga ambapo zinaunganisha watu walio eneo moja mfano Sinza.
Ukiingia humo dakika 10 nyingi mtu anakuja na Bodaboda ulipo huku anahema juu juu na unapata wa kufukua mapema asubuhi.
Wanachuo wanashinda humoView attachment 2729255View attachment 2729256
Wewe jamaaa hata mm nimekuhisi unashadadia ujinga ndo maana unaweka na namba watu wakurequest DuhDogo 0678 443431 Ni aibu Kwa familia yake
umepotea chiefMpaka Leo GRINDR unaokota mapunga tu. Freee