https://jamii.app/JFUserGuide it nimerudi tena niko kwenye gorofa ya 12 ....nje watu kibao
milipuko iketokea Mbagala sasa nashangaa mjini tunaambiwa tuondoke
walinzi hawajui kama nimerudi my life will continue as normal ...ikifika usiku ntatazama Arsenal wanawafunga Man U
Kama ulisoma ile mada ya pale palipobadilishwa .badala ya kujenga kituo cha kuzuia majanga basi watu wanajenga Shopping mall.Hakuna National Priority na mie naogopa sana tunakoelekea ni kubaya sana.
M<uda uliopita nilikuwa naongea na ndugu yangu yupo hapo Dar kaniambia eti ofisi zote zimefungwa..Kwaninizimefungwa???naombeni feedback..
Naogopa sehemu kama mahakamani ushahidi wa baadhi ya kesi unaweza kuibwa amaa kuondolewa kwa visingizio kama hivi..Kuweni makini sana na ofisi then
Invisible,Naomba Update kwenye PM,na kama kuna mtu ana Picha naomba aziweke hapa
Wafuatao wanatiwa kuwajibika mara moja kwa kosa la uhifadhi mbovu wa milipuko na kuhifadhi mabomu yaliyokwisha muda[expired]
1]mkuu wa majeshi
2]waziri wa ulinzi
3]naibu waziri
4]maafisa wa jeshi wanaohusika
huu ni uzembe mwingine kwa amiri jeshi mkuu.,kwani mwaka juzi ulitokea mlipuko mdogo jesihini maeneo ya gongolamboto..ambao haukuwa na madhara .,waliunda tume na wakaahidi kukagua hifadhi ya milipuko mara kwa mara.....inaonekana hawakujifunza kwa ule mlipuko mdogo wa mwaka juzi........ingekuwa bora mabomu kabla hayajaaribika wangekuwa wanayafanyia mazoezi..kuliko kuleta maafa!!
PIA TUJIFUNZE ...MAKAMBI WAKATI MWALIMU ANAYAJENGA YOTE YALIKUWA MBALI SANA NA MAKAZI HATA LUGALO ....ILIKUWA MBALI ....KAWE ILIKUWA MBALI...LEO MAKAMBI YAMEZUNGUKWA NA MAKAZI ...NI MAAFA...
LUGALO NI BARABARA..NI HATARI..ISIYO NA SIKU.....!!
NADHANI KOSA LA MAKAZI KUWA KARIBU NA MAKAMBI NI LA WATU WA JIJI NA MIPANGOO MIJI ..KWANI KAMA NILIVOSEMA ...MAKAMBI YALIPOBUNIWA YALIBUNIWA ANGALAU YAWE KILOMETA 2...KUTOKA MAKAZI YA RAIA KWA MAKAMBI YA MIJINI.....YALE MAKAMBI HATARI YA MISITUNI NDIO YAPO HADI KILOMETA 50 KUTOKA KWA RAIA..
Wafuatao wanatiwa kuwajibika mara moja kwa kosa la uhifadhi mbovu wa milipuko na kuhifadhi mabomu yaliyokwisha muda[expired]
1]mkuu wa majeshi
2]waziri wa ulinzi
3]naibu waziri
4]maafisa wa jeshi wanaohusika
huu ni uzembe mwingine kwa amiri jeshi mkuu.,kwani mwaka juzi ulitokea mlipuko mdogo jesihini maeneo ya gongolamboto..ambao haukuwa na madhara .,waliunda tume na wakaahidi kukagua hifadhi ya milipuko mara kwa mara.....inaonekana hawakujifunza kwa ule mlipuko mdogo wa mwaka juzi........ingekuwa bora mabomu kabla hayajaaribika wangekuwa wanayafanyia mazoezi..kuliko kuleta maafa!!
PIA TUJIFUNZE ...MAKAMBI WAKATI MWALIMU ANAYAJENGA YOTE YALIKUWA MBALI SANA NA MAKAZI HATA LUGALO ....ILIKUWA MBALI ....KAWE ILIKUWA MBALI...LEO MAKAMBI YAMEZUNGUKWA NA MAKAZI ...NI MAAFA...
LUGALO NI BARABARA..NI HATARI..ISIYO NA SIKU.....!!
NADHANI KOSA LA MAKAZI KUWA KARIBU NA MAKAMBI NI LA WATU WA JIJI NA MIPANGOO MIJI ..KWANI KAMA NILIVOSEMA ...MAKAMBI YALIPOBUNIWA YALIBUNIWA ANGALAU YAWE KILOMETA 2...KUTOKA MAKAZI YA RAIA KWA MAKAMBI YA MIJINI.....YALE MAKAMBI HATARI YA MISITUNI NDIO YAPO HADI KILOMETA 50 KUTOKA KWA RAIA..
Hivi kweli hamna mwenye taarifa kamili na hili.
Nimeletewa mssg na mdau mmoja toka nyumbani, ni kwamba watu wawili wamepoteza maisha na kiasi cha wananchi 100 wamepelekwa Temeke hospitali.
Inavyo onekana hali si nzuri sana, sivyo vile jeshi lilivyotarajia.
Kutokana na taswira ya medani ya kisiasa, wengi wamekuwa wakisema kuwa nchi inaelekea pabaya. Jee hii ndiyo yenyewe? Yaani kuna watu wamelipua ghala ya silaha hapa dar ili pengine wafanze mambo yao? -- you know what I mean. Mkuu wa kaya yuko wapi?
Ni tukio lazima arudi kokote aliko, nadhani Arusha.
Deputy Minister for Defence and Security Emmanuel Nchimbi has cautioned residents to stay away from the area and to vacate all tall buildings.
Wana JF
Nimesikitishwa sana na uzembe huu wa hali ya juu ambao mpaka sasa unaghalimu maisha ya wakazi wa mbagala na uchumi wa nchi
Now its the time to bring foward those responsible, We need to out president takes strong action on those officials responsible
Mkuu wa majeshi Na wazili wa ulinzi wajiuzuruuuuuu, They fail us.
By the i'm a new member and this is my first post. But i love JF it keeps me up to date on things going on in My beloled country Tanzania
Huu ni uzembe tu wa watu wa chache
Tunataka kuona wanajiuzuru,
Selikali yetu imeshindwa hata hilo jambo dogo la kulinda silaha zake kwa uangalifu.
TANZANIA ITS TIME FOR A CHANGE IN LEADERSHIP